UKIJIFOSI KUMPENDA KISA MALI, PESA ZAKE, IMEKULA KWAKO!
![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0IlYyJFydxYtE0jB3q6lIKNMrYjOswlew7Hk1s6YXgNbIhSvf817rXG0KAEe5thqkQ95kmtCtpxyk4lFFOxS-wZ/7copy.jpg?width=650)
Wakati fulani huwa najiuliza kwa nini tunakuwa na wapenzi, kwa nini mapenzi yakawepo? Kwa nini tunaoa ama kuolewa? Kwa nini baadhi ya watu huamua kujinyonga baada ya kuachwa na wapenzi wao? Kwa nini mapenzi yamekuwa sehemu ya maisha yetu? Kwa nini mapenzi yameharibu baadhi ya maisha ya watu? Huwa najiuliza maswali mengi yenye kwa nini, yakihusisha mapenzi. Kwa ujumla kama nilivyo na maswali mengi, majibu pia yamekuwa mengi. Kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ukizubaa, imekula kwako
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3mdoMMv3eY-thBZubKMV0iXqmGyLW9qNLQDYx9FRlD6KhyGTM0rkeFvaNR9n2nPjxTeqsxb0GvOzxi6IkIyJu1/mahaba.jpg?width=650)
KWA NINI UKUBALI MPENZI AKUDHALILISHE KISA PESA ZAKE?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL1taVEa4zHhJsjWuP6v2BikBc7NKrhS*bcVLVnX2nYVQ7Zckirr*rhGKcHEV224SQgnsN8HOyc*JatvGJ2UJrBR/7.jpg?width=650)
MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Mtoto amuua mama’ke kisa mali
Mume wa marehemu akiwa pembeni ya mwili wa mkewe.
Na Dustan Shekidele, UWAZI
MOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Kijana Said Ally Mwinyimvua anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro akidaiwa kumuua kwa kumcharanga mapanga mama yake mzazi, Sikuzani Said (70), kisa kikidaiwa kuwa ni kunyimwa wali (ubwabwa) na kupewa mdogo wake, Abass ambaye ni mziwanda, Uwazi linakupasha.
Tukio hilo lililoacha majonzi, lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa familia hiyo, Kijiji cha Kungwe,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oAFU9LiZXX4/VKP7fFpNEmI/AAAAAAAG6xo/3J083337KQk/s72-c/11111.jpg)
MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Wanaonunua mali kwa pesa chafu UK waonywa
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/M4LfoYBWZVU/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Babu arushiana makonde na kibaka aliyetaka kumuibia pesa zake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-J-50p8P6raE/VOh2UBfQUbI/AAAAAAAAovM/Ndinkkpd8LQ/s72-c/Precision_Air_ATR_42-600_5H-PWH_at_Toulouse-Blagnac_Airport_LFBO.jpg)
Precision Kuuza Ndege Zake..Kisa na Mkasa Huu Hapa
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-50p8P6raE/VOh2UBfQUbI/AAAAAAAAovM/Ndinkkpd8LQ/s640/Precision_Air_ATR_42-600_5H-PWH_at_Toulouse-Blagnac_Airport_LFBO.jpg)