Wanaonunua mali kwa pesa chafu UK waonywa
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, anatarajiwa kulaani matumizi ya pesa chafu kutoka maeno mbali mbali ya dunia zinazotumiwa kununua mali nchini Uingereza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 May
Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa
WANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oAFU9LiZXX4/VKP7fFpNEmI/AAAAAAAG6xo/3J083337KQk/s72-c/11111.jpg)
MASTAA SIMBA WATAKA PESA, SI MALI KAULI
MASTAA nane wa klabu ya Msimbazi wamekacha timu hiyo iliyoandoka leo kwenda Zanzibar kwa kile wanachoshinikiza kulipwa fedha zao. Habari za kuaminika zinasema kuwa mastaa nane wa klabu hiyo wameingia mitini wakiwemo waganda watano na wabongo watatu mpaka hapo watakapomaliziwa fedha zao za usajili.
Wabongo waliokacha timu hiyo ni Shaban Kisiga, Jonas Mkude na Ivo Mapunda hata hivyo kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola jana alikiri kutokuwepo kwenye kikosi chake ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0IlYyJFydxYtE0jB3q6lIKNMrYjOswlew7Hk1s6YXgNbIhSvf817rXG0KAEe5thqkQ95kmtCtpxyk4lFFOxS-wZ/7copy.jpg?width=650)
UKIJIFOSI KUMPENDA KISA MALI, PESA ZAKE, IMEKULA KWAKO!
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Magufuli aahidi pesa kwa pesa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bLEybj6Y_vM/U_ci-4SylbI/AAAAAAAGBWA/CsXSA1CSstI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel Money yazindua rasmi huduma ya kutuma/kupokea pesa moja kwa moja kwenye akaunti ya tigo pesa
![](http://1.bp.blogspot.com/-bLEybj6Y_vM/U_ci-4SylbI/AAAAAAAGBWA/CsXSA1CSstI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIziE9N6wDzK6U40Cs*Zx1yMnGD5QuoxEDDRis4xOB3ji7w89VDuQqahVIYPkwundAoIfzVLWFQKbyeDHVbtB0l/DSC_0056.jpg?width=650)
AIRTEL MONEY YAZINDUA RASMI HUDUMA YA KUTUMA, KUPOKEA PESA MOJA KWA MOJA KWENYE AKAUNTI YA TIGO PESA
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
‘Waepukeni wanaonunua uongozi’
KATIBU wa Jimbo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, jijini Dar es Salaam, Juma Mwipopo, amewataka wananchi kutowachagua wanasiasa wanaotumia fedha kununua uongozi. Mwipopo ametoa tahadhari hiyo hivi...
11 years ago
Habarileo06 Apr
Wanaonunua uaskofu washitukiwa
ASKOFU Mkuu Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Jacob Chimeledya ameonya tabia ya makasisi kutoa fedha ili kununua Uaskofu kwani hiyo ni aibu. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa ibada ya maziko ya aliyekuwa Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo yaliyofanyika kwenye viwanja vya kanisa hilo.