Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Waepukeni wanaonunua uongozi’

KATIBU wa Jimbo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, jijini Dar es Salaam, Juma Mwipopo, amewataka wananchi kutowachagua wanasiasa wanaotumia fedha kununua uongozi. Mwipopo ametoa tahadhari hiyo hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanaonunua uaskofu washitukiwa

ASKOFU Mkuu Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Jacob Chimeledya ameonya tabia ya makasisi kutoa fedha ili kununua Uaskofu kwani hiyo ni aibu. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa ibada ya maziko ya aliyekuwa Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo yaliyofanyika kwenye viwanja vya kanisa hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa

Mohamed RazaWANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaonunua mali kwa pesa chafu UK waonywa

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, anatarajiwa kulaani matumizi ya pesa chafu kutoka maeno mbali mbali ya dunia zinazotumiwa kununua mali nchini Uingereza

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wanaonunua line za Vodacom Tanzania sasa kusajiliwa kieletronic

Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kuanzia leo imezindua huduma mpya ya kuwarahisishia wateja wake maisha ambayo ni ya usajili  wa wateja wapya wanaonunua line za simu kwa njia ya  kieletronikia.
Huduma hii ya usajili wa wateja  wapya kwa njia ya kielektronikia inachukua  nafasi ya usajili wa kujaza fomu uliokuwepo hapo awali na imeonekana kuwa ni bora na ya haraka na inapunguza kazi ya kujaza  karatasi na kupunguza uwezekano wa taarifa za mteja kupotea  na wateja wametokea...

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz             
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
     STATE HOUSE,
             1 BARACK OBAMA ROAD, 
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kukutana na hali ya kumsikitisha.
“ Rais  amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani