Wanaonunua uaskofu washitukiwa
ASKOFU Mkuu Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Jacob Chimeledya ameonya tabia ya makasisi kutoa fedha ili kununua Uaskofu kwani hiyo ni aibu. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa ibada ya maziko ya aliyekuwa Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo yaliyofanyika kwenye viwanja vya kanisa hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
‘Waepukeni wanaonunua uongozi’
KATIBU wa Jimbo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, jijini Dar es Salaam, Juma Mwipopo, amewataka wananchi kutowachagua wanasiasa wanaotumia fedha kununua uongozi. Mwipopo ametoa tahadhari hiyo hivi...
10 years ago
Habarileo18 May
Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa
WANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Wanaonunua mali kwa pesa chafu UK waonywa
10 years ago
MichuziWateja wanaonunua line za Vodacom Tanzania sasa kusajiliwa kieletronic
Huduma hii ya usajili wa wateja wapya kwa njia ya kielektronikia inachukua nafasi ya usajili wa kujaza fomu uliokuwepo hapo awali na imeonekana kuwa ni bora na ya haraka na inapunguza kazi ya kujaza karatasi na kupunguza uwezekano wa taarifa za mteja kupotea na wateja wametokea...
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Uaskofu jimbo Katoliki Shinyanga
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo, mjini Shinyanga leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumapili, Aprili 12, 2015 ameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Shinyanga, kuhudhuria Ibada rasmi ya kumweka wakfu na kumsimika Askofu mpya wa Jimbo hilo,...
10 years ago
MichuziLowassa asalimiana na wananchi baada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa jijini arusha
11 years ago
MichuziMh. Lowassa ashiriki sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa
11 years ago
GPLLOWASSA ASHIRIKI SHEREHE ZA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA IRINGA, MHASHAMU TARCISIUS NGALALEKUMTWA