Lowassa asalimiana na wananchi baada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa jijini arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-AplFXdzA-s0/VLGB-lvmxCI/AAAAAAAG8mQ/evVAgDvnT-U/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Waziri mkuu wa mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akisalimiana na mamia ya waumini wa kanisa la KKKT Kimandolu jijini Arusha baada ya Ibada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa kuwa askofu wa dayosisi ya kaskazini Kati leo Jumamosi Waumini hao walipigana vikumbo kumpiga picha na simu zao.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
11 years ago
Michuzi16 May
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOass4AqaZU/U2d7Y1z3-_I/AAAAAAAAAW4/n6Llkx8IWnw/s1600/IYK_Swahili_Invitation_5yr.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s72-c/18.jpg)
Mh. Lowassa ashiriki sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h3veQBgY48g/U7MOd0Gq3NI/AAAAAAAFuCo/CU49ZVasawU/s1600/19.jpg)
10 years ago
MichuziMazungumzo na Liberatus Mwang'ombe na Solomon Chris baada ya Uchaguzi DMV
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-1X1fJK6VEvk/U7MOV2522_I/AAAAAAAFuCg/hAQMJDwGajo/s1600/18.jpg)
LOWASSA ASHIRIKI SHEREHE ZA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA IRINGA, MHASHAMU TARCISIUS NGALALEKUMTWA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s72-c/tengeru.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s640/tengeru.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UmqS5nPVW18/Vc9vX9wvQ2I/AAAAAAAAAIA/suOGZyK7Q8w/s640/MMGL0876.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1lA1ssYFSfY/Vhal_xzXaxI/AAAAAAAADzs/Xp5qOmctJGI/s72-c/OTH_4316.jpg)
LOWASSA AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-1lA1ssYFSfY/Vhal_xzXaxI/AAAAAAAADzs/Xp5qOmctJGI/s640/OTH_4316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KN6hPHl0eH8/VhamA2T8r0I/AAAAAAAADz0/3ZYWnvamkFc/s640/OTH_4335.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-faxRnuv0mFo/VhamfR1tnuI/AAAAAAAAD30/2GNbeAgsJ6g/s640/OTH_4933.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WmsguRMgOqA/VhameA7TcJI/AAAAAAAAD3k/JlNM0MxSPcs/s640/OTH_4921.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Party ya usiku wa marafiki wa Lowassa yafana jijini Arusha
Kada maarafu kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Violet Mfuko akishow love na Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Nurdin Billal maarufu kama Shetta katika usiku wa marafiki wa Lowassa iliyofanyika katika ukumbi wa Triple A jijini Arusha.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nurdin Billal maarufu kama Shetta akicheza sambamba na Mkurugenzi wa kituo cha Radio 5 Robert Francis staili ya shikorobo juzi kwenye party ya usiku wa marafiki wa Lowassa ulifanyika katika ukumbi wa triple A jijini...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...