Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA; UKISEMWA NA MUMEO USINUNE, ITAKULA KWAKO!

Shoga yangu, leo ni Jumanne nyingine ambapo tunakutana katika safu yetu hii ambayo tunaitumia kukosoana na kuelimishana kuhusu masuala ya ndoa nk. Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu mada iliyosema ‘mumeo umepewa na Mungu jiachie utakavyo,’ leo nataka kukutahadharisha kwamba ukisemwa na mumeo usinune, itakula kwako.
Nasema hivyo kwa sababu kuna baadhi ya wenzetu wana tabia ya kupenda kuwanunia waume zao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOGA; USIMKOMOE MUMEO KWA KERO ZA KAZINI KWAKO!

Shoga yangu, kwa kuwa siku za kupiga kura kumchagua rais, wabunge na madiwani zimekaribia naendelea kutoa rai kwa kila mmoja kuhudhuria kwenye mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea ili Oktoba 25 ikifika muwachague viongozi bora. Leo shoga yangu nataka kuwazungumzia baadhi ya wenzetu wanaofanya mambo ndivyo sivyo kwa waume zao na kusababisha mifarakano ndani ya ndoa.Kawaida katika harakati za kutafuta riziki ambazo...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

11 years ago

GPL

MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!

WIKI iliyopita nilimalizia makala iliyokuwa inazungumzia mambo ambayo unatakiwa kuyaepuka ndani ya ndoa yako ili kuifanya iwe ya furaha na amani. Wapo ambao waliona ugumu katika kutekeleza baadhi ya mambo. Kwa mfano, kuna ambao walinipigia simu na kuniambia, licha ya kwamba wanajua wake zao hawapendi masuala ya pombe lakini inakuwa vigumu kwao kuacha. Kuna ambao wanajua wake zao hawapendi wao wachelewe kurudi nyumbani lakini wao...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!

Shoga zangu, ni matumaini yangu kwamba nyote mtakuwa na afya njema na mapambano ya maisha yanaendelea vizuri licha ya kuwa na changamoto za hapa na pale.Kwa upande wangu ondoeni shaka, afya yangu ni njema na mume na watoto wetu wapo poa kabisa. Leo shoga zangu nimeamua kuzungumza nanyi kuhusu uzembe unaofanywa na baadhi ya wenzetu baada ya kupata watoto na kusahau kabisa majukumu yao kwa waume zao.Nimeamua kuzungumza nanyi ishu...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MLILIE MUMEO ASIWAWAZE WENGINE!

Asalaam alaykhm mashoga zangu! Kwa uwezo wa Mola ni matumaini yangu nyote mu wazima na mnaendelea vyema na majukumu ya kimaisha na malezi ya familia. Kwa upande wangu nipo vizuri kiafya na kazi inakwenda murua, japo changamoto ni sehemu ya maisha yetu.
Shoga zangu, leo nimewaandalia ‘topiki’ yenye kichwa hicho hapo juu. Ni kweli kabisa mwanamke unapaswa kumlilia mumeo ili kumteka asiwawaze wengine. Ukiacha kulia,...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MUMEO ANAKURIDHISHA MCHEPUKO WA NINI?

Asalaam alaykhum shoga yangu! Kwa upande wangu nipo vizuri sana kuanzia kiafya pamoja na kiuchumi.
Shoga, kabla sijaanza kukueleza nilichokuandalia leo, napenda kumpa pole mama wa mabinti wawili wakazi wa mkoani Pwani kwa masaibu yaliyowapata ya kubakwa na baba yao mzazi. Hakika tukio hilo limenihuzunisha sana mbaya zaidi ni pale baadhi ya ndugu wa mumewe wanampomtishia maisha mama huyo kwa kitendo cha kumfikisha mumewe kwenye...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: KWA NINI MUMEO AKUSALITI?

Kama ilivyoada binadamu kujuliana hali, napenda kuwafahamisha kwamba hali yangu ni nzuri sijui kwa upande wenu.
Shoga zangu, kwa kuwa nchi yetu inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais utakaofanyika Oktoba mwaka huu, napenda kuwashauri msijiweke mbali na kila kinachojiri kuhusiana na ishu hiyo ili kuelewa mambo mbalimbali ya kisiasa kabla ya kuwachagua viongozi wetu hususan rais. Leo shoga zangu nimekuja na...

 

10 years ago

GPL

SHOGA USIMWAMBIE MUMEO UMECHOKA, UTAACHWA!

Shoga, baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kutotoa nafasi kwa nduguzo kuwa karibu sana na mumeo, leo nitazungumza nanyi kuhusu athari za kumwambia mumeo umechoka.Kuchoka ninakokuzungumzia si kule kwa kufanya kazi za nyumbani kama kupika, kufua, kuuza duka, kuwa bize na watoto nk. Mada yangu ni mahususi kwa wenzetu ambao huwanyima waume zao ‘chakula cha usiku’ kwa madai kwamba wamechoka hivyo hawahitaji...

 

9 years ago

GPL

SHOGA;MUMEO UMEPEWA NA MUNGU JIACHIE UTAKAVYO!

Shoga, ni matumanini yangu kwamba upo mzima na unaendelea na maisha baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu ambao ulikuwa na changamoto nyingi na kutuweka mioyo juu kwa presha ya kupanda na kushuka. Kikubwa shoga ni kumaliza tofauti zetu za kisiasa kwa sababu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ( Nec) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Nne wa taifa letu. Baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye jambo ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani