KINANA APATA NYOMI LA NGUVU LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sv5249wAhIk/VCcKEJ4r7vI/AAAAAAAARfA/CUF0MjRwRr0/s72-c/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahamn Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwa pamoja wakiwapungia mkono mamia ya watu waliofurika kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola wilayani Lushoto.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola ambapo aliwasisitiza wananchi hao kushiriki kazi za maendeleo na kujiunga kwa wingi kwenye mfuko wa Afya ya jamii.
Umati wa wakazi wa kata ya Mlola wakimsikiliza Katibu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLZIARA YA KINANA LUSHOTO
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Lushoto kukipa nguvu kilimo cha mboga mboga
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9Y0lH2bNdNE/VCcJfZTCu5I/AAAAAAAARd4/VczI5QaATuo/s72-c/13.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUSHOTO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9Y0lH2bNdNE/VCcJfZTCu5I/AAAAAAAARd4/VczI5QaATuo/s1600/13.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VSd74OrycLQ/VCcJjcgkKgI/AAAAAAAAReA/rUXM6n2ZDCQ/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSc5P1__wLM/VCcKH4745lI/AAAAAAAARfI/m8s6NnV34-U/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--rmrgo_TgH8/VCjF2BG77qI/AAAAAAAARkg/8k0Xc2N1xvE/s72-c/35.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU YA CCM,NDUGU KINANA YAIBOMOA NGOME YA CHADEMA WILAYANI LUSHOTO.
![](http://4.bp.blogspot.com/--rmrgo_TgH8/VCjF2BG77qI/AAAAAAAARkg/8k0Xc2N1xvE/s1600/35.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zyrgji3vYOc/VCjFxcwicMI/AAAAAAAARjs/STgshaC9Vs0/s1600/19.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1AuRZzHC56s/VCjFv2To1uI/AAAAAAAARjY/qFZAM6FXN44/s1600/16.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vNjc9Y0q-V4/Vhll047g17I/AAAAAAAAu0E/v4y7fbn1Q6M/s72-c/OTH_7102.jpg)
LOWASSA APATA MAPOKEZI YA NGUVU MJINI TARIME
![](http://2.bp.blogspot.com/-vNjc9Y0q-V4/Vhll047g17I/AAAAAAAAu0E/v4y7fbn1Q6M/s640/OTH_7102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nHQ1Ah0Qbk/Vhll177xGJI/AAAAAAAAu0I/vtF0WIAUzl0/s640/OTH_7127.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cJn5-CZMyo0/VhlnhHejGiI/AAAAAAAAu5k/tFhXYSWB8Zc/s640/OTH_7868.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K4kwW5Ep4f0/VhlnV8s1hxI/AAAAAAAAu4o/LtcNTx2O_S8/s640/OTH_7752.jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
DIAMOND PLATINUMZ ATUA DAR APATA MAPOKEZI YA NGUVU.
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
10 years ago
Habarileo16 Jun
Epukeni wanaotumia nguvu kubwa kusaka Urais - Kinana
WANACHAMA wa CCM wametakiwa kuwa macho katika uchaguzi wa viongozi kwa kujihoji juu ya wanaotumia nguvu nyingi kusaka uongozi, wasije kuchagua wanaojali maslahi binafsi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xGXm-t8Pkjc/VaGl3UUIXmI/AAAAAAAAwjc/c8hNbAvGOro/s72-c/DSC_0119.jpg)
Kinana Apata Wasaa Wa Kuongea Na Lowassa. Hivi Ndivyo ilivyokuwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-xGXm-t8Pkjc/VaGl3UUIXmI/AAAAAAAAwjc/c8hNbAvGOro/s640/DSC_0119.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2SjFP9yJ1Ho/VaGl9ORO2JI/AAAAAAAAwjk/HPe5LiYLPoM/s640/DSC_0120.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_PeD_AEWoY/VaGmJKh1OlI/AAAAAAAAwjs/cnhuCQT8tJE/s640/DSC_0123.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...