Epukeni wanaotumia nguvu kubwa kusaka Urais - Kinana
WANACHAMA wa CCM wametakiwa kuwa macho katika uchaguzi wa viongozi kwa kujihoji juu ya wanaotumia nguvu nyingi kusaka uongozi, wasije kuchagua wanaojali maslahi binafsi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Pinda awashangaa wanaotumia rasilimali nyingi kuusaka urais
9 years ago
Michuzi02 Nov
SHINDANO KUBWA LA KUSAKA VIPAJI VYA KUCHEZEA MPIRA 'FREESTYLE FOOTBALL CHAMPIONSHIP' KUANZA HIVI KARIBUNI
![IMG_20151022_190217](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151022_190217.jpg)
Tanzania Freestyle football championship (TFFC2016) ambalo ni shindano la kutafuta/kusaka vipaji vya kuchezea mpira yaani freestyle soccer/Freestyle Football wengi hupenda kuita hivyo ambalo linatarajiwa kuendeshwa kama vile mashindano mengine ya kutafuta vipaji kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya TV show.Waweza wasiliana nao kupitia anuani hapa +255 654 955 825/ +255 655 049 647
![IMG_20151010_014924](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151010_014924.jpg)
![IMG_20151010_022504](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_20151010_022504.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Nov
Sumaye:Kwa nini najitosa kusaka urais
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/frederick-sumaye.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, ametaja sababu tatu za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, akieleza kuwa mojawapo ni kukuza uchumi unaogusa maisha ya Watanzania wengi.
Akizungumza na NIPASHE wiki iliyopita katika mahojiano maalum nyumbani kwake Kiluvya, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Sumaye (64), alisema suala la pili linalomsukuma kuwania nafasi ya kuwa mkuu wa nchi ni vita dhidi ya rushwa, ufisadi na dawa za kulevya.
Alitaja...
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ELIZABETH HOMBO
MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.
Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sv5249wAhIk/VCcKEJ4r7vI/AAAAAAAARfA/CUF0MjRwRr0/s72-c/5.jpg)
KINANA APATA NYOMI LA NGUVU LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sv5249wAhIk/VCcKEJ4r7vI/AAAAAAAARfA/CUF0MjRwRr0/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9Y0lH2bNdNE/VCcJfZTCu5I/AAAAAAAARd4/VczI5QaATuo/s1600/13.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola ambapo aliwasisitiza wananchi hao kushiriki kazi za maendeleo na kujiunga kwa wingi kwenye mfuko wa Afya ya jamii.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VSd74OrycLQ/VCcJjcgkKgI/AAAAAAAAReA/rUXM6n2ZDCQ/s1600/14.jpg)
Umati wa wakazi wa kata ya Mlola wakimsikiliza Katibu...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta akana kutumia #Bunge la Katiba kusaka Urais 2015, ajipigia debe kiaina[VIDEO]
11 years ago
Michuzi09 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-haIr6xEyLBc/U72XUezmeOI/AAAAAAAAn5Y/Wnsyr7o3SDM/s1600/1.+Kinana+akimlaki+mgeni.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-qJTvY19ZL28/U72XW3Pw-bI/AAAAAAAAn5k/tIlK0AVuRJQ/s1600/2.+Mgeni+akimsalimia+Nape.jpg)
9 years ago
Vijimambo13 Oct
SPEED YA MWIGULU NCHEMBA KUSAKA KURA ZA URAIS ZA MAGAFULI YAONGEZEKA,APIGA MAJIMBO 6 HII LEO KANDA YA ZIWA
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12072709_894663070587518_8750083471299984698_n.jpg?oh=4ef124646e2d1db76dd17d34250b348e&oe=56984F67)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11232275_894605253926633_4733994514331967860_n.jpg?oh=16f0a05c14db5089ddafe89a74abeb9b&oe=569264A0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12112304_894605153926643_6119693683441098416_n.jpg?oh=ed8c47650920041b3e7babe6ba88e4c9&oe=56889555)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12088543_894605330593292_805072813188566134_n.jpg?oh=0837df7a6481fb598a1e78537461deac&oe=568525A1)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12088543_894605330593292_805072813188566134_n.jpg?oh=0837df7a6481fb598a1e78537461deac&oe=568525A1)