Pinda awashangaa wanaotumia rasilimali nyingi kuusaka urais
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewashangaa watu wanaotumia fedha na rasilimali za nchi kwa ajili ya kuutaka urais na kuwakumbusha wenye nia hiyo kuwa, rais ni mipango na neema za Mungu..
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Tahadhari kwa wanaotumia Sukari nyingi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmx9Mi6sOg8I2U32c2lMP8lS7exGUeSMiikuyG3QFWAlsjhS*fnyEUGX2Vd8mIaokEJdO9wv4Qp32MaRi19L7vEk/2a.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA LIPUMBA KUUSAKA URAIS NA KIU ISIYOKATIKA 2015
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Maige awashangaa wagombea urais CCM
Na Khamis Mkotya, Dodoma
MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), amesema amesikitishwa na mwenendo wa wagombea urais kupitia chama chake kwa jinsi wanavyojinadi.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari ya Bunge mjini hapa jana, Maige alisema inasikitisha wagombea hao badala ya kujadili hoja wamebaki kushambuliana na kurushiana vijembe.
Alisema kitendo cha wagombea hao kujadili watu badala ya hoja kinaonyesha udhaifu walionao huku akiwataka kuacha siasa za...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Epukeni wanaotumia nguvu kubwa kusaka Urais - Kinana
WANACHAMA wa CCM wametakiwa kuwa macho katika uchaguzi wa viongozi kwa kujihoji juu ya wanaotumia nguvu nyingi kusaka uongozi, wasije kuchagua wanaojali maslahi binafsi.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Pinda ataka urais
WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Pinda: Nachafuliwa vita ya urais
Na Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema hahusiki kwa namna moja au nyingine katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Pinda alisema watu wanaomtuhumu kuhusika na kashfa ya Escrow, wana lengo la kumchafulia mbio zake za kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Alisema yeye ni mtu mwadilifu, hajawahi kupokea au kutoa rushwa kwa mtu yeyote katika maisha yake.
“Sijawahi kutoa wala kupokea rushwa maishani mwangu, hata...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Pinda: Nimeanza mbio za urais
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amefanya kile alichokifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, kwa kutangaza nia ya kuwania urais mwaka 2015, akiwa jijini London nchini Uingereza. Pinda...
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Pinda afunguka urais 2015
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Fredy Azzah, Dar
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.
Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...
10 years ago
Vijimambo23 Oct
Pinda:Nimetangaza urais kimyakimya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mizengo%20Pinda-October23.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza rasmi kugombea urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa mwakani huku akisema amejitangaza kimyakimya.
Pinda aliliambia Idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza juzi usiku kuwa atakuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho watakao wania nafasi hiyo.
Pinda ambaye yupo mjini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi unazungumzia uwekezaji zaidi katika bara la Afrika.
“Wamejitokeza wengi,...