Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awashangaa wanaotumia rasilimali nyingi kuusaka urais

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewashangaa watu wanaotumia fedha na rasilimali za nchi kwa ajili ya kuutaka urais na kuwakumbusha wenye nia hiyo kuwa, rais ni mipango na neema za Mungu..

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa wanaotumia Sukari nyingi

Wataalamu wa afya wanatahadharisha kuwa juhudi zaidi zinahitajika kupunguza kiwango cha Sukari kinachotumiwa na watu.

 

10 years ago

GPL

MIAKA 20 YA LIPUMBA KUUSAKA URAIS NA KIU ISIYOKATIKA 2015

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf) siyo mtu wa kutiliwa shaka kuhusu ‘madini’ aliyonayo kichwani. Ni msomi aliyebobea kwenye masuala ya uchumi duniani. Amezaliwa Juni 6, 1952, katika kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora. Safari ya elimu iliyompa uprofesa aliianza mwaka 1959, akisoma elimu ya awali na msingi katika shule ya Sikonge. Baadaye...

 

10 years ago

Mtanzania

Maige awashangaa wagombea urais CCM

maigeNa Khamis Mkotya, Dodoma
MBUNGE wa Msalala, Ezekiel Maige (CCM), amesema amesikitishwa na mwenendo wa wagombea urais kupitia chama chake kwa jinsi wanavyojinadi.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari ya Bunge mjini hapa jana, Maige alisema inasikitisha wagombea hao badala ya kujadili hoja wamebaki kushambuliana na kurushiana vijembe.
Alisema kitendo cha wagombea hao kujadili watu badala ya hoja kinaonyesha udhaifu walionao huku akiwataka kuacha siasa za...

 

10 years ago

Habarileo

Epukeni wanaotumia nguvu kubwa kusaka Urais - Kinana

WANACHAMA wa CCM wametakiwa kuwa macho katika uchaguzi wa viongozi kwa kujihoji juu ya wanaotumia nguvu nyingi kusaka uongozi, wasije kuchagua wanaojali maslahi binafsi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda ataka urais

WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Nachafuliwa vita ya urais

Mizengo-Pinda

Na  Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema hahusiki kwa namna moja au nyingine katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Pinda alisema watu wanaomtuhumu kuhusika na kashfa ya Escrow, wana lengo la kumchafulia mbio zake za kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Alisema yeye ni mtu mwadilifu, hajawahi kupokea au kutoa rushwa kwa mtu yeyote katika maisha yake.
“Sijawahi kutoa wala kupokea rushwa maishani mwangu, hata...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Nimeanza mbio za urais

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amefanya kile alichokifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, kwa kutangaza nia ya kuwania urais mwaka 2015, akiwa jijini London nchini Uingereza. Pinda...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda afunguka urais 2015

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Fredy Azzah, Dar

BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.

Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.

Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...

 

10 years ago

Vijimambo

Pinda:Nimetangaza urais kimyakimya

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza rasmi kugombea urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa mwakani huku akisema amejitangaza kimyakimya.

Pinda aliliambia Idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza juzi usiku kuwa atakuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho watakao wania nafasi hiyo.

Pinda ambaye yupo mjini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi unazungumzia uwekezaji zaidi katika bara la Afrika.

“Wamejitokeza wengi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani