MIAKA 20 YA LIPUMBA KUUSAKA URAIS NA KIU ISIYOKATIKA 2015
![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmx9Mi6sOg8I2U32c2lMP8lS7exGUeSMiikuyG3QFWAlsjhS*fnyEUGX2Vd8mIaokEJdO9wv4Qp32MaRi19L7vEk/2a.jpg?width=650)
Prof. Ibrahim Haruna Lipumba PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf) siyo mtu wa kutiliwa shaka kuhusu ‘madini’ aliyonayo kichwani. Ni msomi aliyebobea kwenye masuala ya uchumi duniani. Amezaliwa Juni 6, 1952, katika kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora. Safari ya elimu iliyompa uprofesa aliianza mwaka 1959, akisoma elimu ya awali na msingi katika shule ya Sikonge. Baadaye...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Pinda awashangaa wanaotumia rasilimali nyingi kuusaka urais
10 years ago
Habarileo15 Jun
Lipumba atangulia urais
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba jana alianzisha mchakato wa kuwania urais kupitia muungano wa kambi ya upinzani nchini unaofahamika kama Ukawa, huku akisema yeye ndiye mtu pekee anayefaa kupeperusha bendera ya vyama vya upinzani.
10 years ago
Mwananchi08 Aug
‘Lipumba angetaka ningemwachia urais’
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lipumba: Ujana siyo sifa ya urais
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Lipumba: Wanaostahili jela wanawania urais CCM
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Profesa Lipumba: CCM ina wagombea wawili wa urais