Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba: Ujana siyo sifa ya urais

Hoja ya kutumia sifa ya ujana kama kigezo cha kuwania urais imezidi kupata upinzani baada ya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kusema jambo la muhimu zaidi ni uwezo na uadilifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ujana ni mapito, si sifa ya uongozi

SIKUBALIANI na wanasiasa vijana wanaoendekeza siasa za kutukuza ujana na kubeza “uzee” kama njia ya kujipatia uongozi. Sikubaliani nao wanaposimama majukwaani kuhamasisha vijana wenzao kuwa huu ni wakati wao kuchukua...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Urais ni zaidi ya ujana’

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka vijana kumchagua mtu, “anayefanana na kijana” kurithi nafasi yake katika Uchaguzi Mkuu 2015, wanasiasa na wasomi nchini wamesema sifa za mtu anayefaa kuwa rais ni zaidi ya ujana.

 

10 years ago

Mwananchi

JK agusia ujana urais 2015

 Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Khamis Kigwangallah: Tunahitaji fikra za ujana kwenye urais

JINA la Dk. Khamis Kigwangallah ambaye ni mbunge wa Nzega (CCM) si jina geni  katika siasa za Tanzania. Jina hili katika siku za hivi karibuni limetajwa tajwa mara nyingi baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Sifa kumi za mgombea urais wa CCM

Hivi karibuni nimesaidiana kimawazo na Watanzania wenzangu katika kufanya uchambuzi wa watu wanaotajwa au waliojitangaza kuwa watawania uteule wa urais kupitia CCM na nalishukuru gazeti hili kwa kukubali kuchapisha maoni yangu.

 

10 years ago

Habarileo

Lipumba atangulia urais

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akikabidhiwa fomu ya kugombea urais na Katibu wa CUF Kinondoni, Mohamedi Mkandu, Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba jana alianzisha mchakato wa kuwania urais kupitia muungano wa kambi ya upinzani nchini unaofahamika kama Ukawa, huku akisema yeye ndiye mtu pekee anayefaa kupeperusha bendera ya vyama vya upinzani.

 

10 years ago

Vijimambo

Kificho: Urais siyo kazi ya kuombwa

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho, amesema kuwa kazi ya urais siyo jambo la kushauriwa au kuombwa, bali kwa mhusika kujipima kama anaweza kutekeleza jukumu hilo kwa kuweka maslahi ya umma mbele kuliko kutafuta heshima na mali nyingine.

Kificho aliyasema hayo katika mahojiano maalum na waandishi wa NIPASHE mjini Zanzibar hivi karibuni na kutaja sifa kuu mbili anazostahili kuwa nazo Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ajaye.

Alifafanua sifa hizo kuwa mtu mwenye nia...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM yataja sifa za mgombea urais ajaye

Katibu Mkuu wa Taifa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetaja sifa za mgombea urais, anayetakiwa kugombea kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Sifa 10 za mgombea urais bora wa upinzani 2015

Ni jana tu nimemaliza uchambuzi wa watu wanaotajwa au waliojitokeza kugombea urais au wale ambao hawajajitangaza na hawana nia lakini jamii ndani na nje ya vyama vyao inawataja kama watu wenye sifa, uwezo na hata vigezo vya kuiongoza nchi yetu, kutoka vyama vya upinzani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani