Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sifa 10 za mgombea urais bora wa upinzani 2015

Ni jana tu nimemaliza uchambuzi wa watu wanaotajwa au waliojitokeza kugombea urais au wale ambao hawajajitangaza na hawana nia lakini jamii ndani na nje ya vyama vyao inawataja kama watu wenye sifa, uwezo na hata vigezo vya kuiongoza nchi yetu, kutoka vyama vya upinzani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘CCM itateua mgombea bora wa urais 2015’

Mbunge wa Simanjiro, mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amesema ana imani kuwa Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hawatafanya makosa ya kumpitisha mgombea wa urais asiye chaguo la wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sifa kumi za mgombea urais wa CCM

Hivi karibuni nimesaidiana kimawazo na Watanzania wenzangu katika kufanya uchambuzi wa watu wanaotajwa au waliojitangaza kuwa watawania uteule wa urais kupitia CCM na nalishukuru gazeti hili kwa kukubali kuchapisha maoni yangu.

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM yataja sifa za mgombea urais ajaye

Katibu Mkuu wa Taifa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetaja sifa za mgombea urais, anayetakiwa kugombea kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Sadifa awaondoa hofu CCM sifa za mgombea urais

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma SadifaWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamehakikishiwa kuwa Kamati Kuu ya chama hicho itateua mgombea urais mwenye sifa zinazostahili na anayekubalika kwa wananchi na haitakata jina la mgombea bila sababu za msingi.

 

9 years ago

StarTV

Mgombea Urais adai vyama vya upinzani havitendewi haki

Mgombea Urais kupitia Chama cha Tanzania Labour TLP Macmillan Lyimo ameitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa haiwatendei haki baadhi ya wagombea urais kupitia vyama vya upinzani kwa kutowapa Fedha za ruzuku.

Akizungumza na waandishi wa habari Mgombea Urais TLP Macmillan Lyimo amesema wamekuwa wakibaguliwa licha ya mataifa ya nje kutoa fedha za kusaidia uchaguzi nchini wakati Tume za Uchaguzi za Afrika Mashariki isipokuwa Tanzania zikiwawezesha wagombea wote kwa usawa.

Mgombea huyo...

 

10 years ago

Michuzi

CCM INA UWEZO WA KUTAFUTA MGOMBEA WA URAIS MWENYE SIFA - RAZA



  Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza akionesha baadhi ya vifungu vya sheria vilivyopo kwenye kitabu kidogo cha sheria za Zanzibar,Mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam. Mtangazaji wa BB Swahili nchini Tanzania,Arnold Kayanda akifanya mahojiano mafupi na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohamed Raza mara baada ya kuzungumza na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO...

 

9 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani