UVCCM yataja sifa za mgombea urais ajaye
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetaja sifa za mgombea urais, anayetakiwa kugombea kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 May
Sifa kumi za mgombea urais wa CCM
10 years ago
Habarileo10 Nov
UVCCM wafunguka kuhusu mgombea urais
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM, limetaka mchakato wa kumpata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani, uanze mapema.
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Sifa 10 za mgombea urais bora wa upinzani 2015
10 years ago
Habarileo23 Feb
Sadifa awaondoa hofu CCM sifa za mgombea urais
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamehakikishiwa kuwa Kamati Kuu ya chama hicho itateua mgombea urais mwenye sifa zinazostahili na anayekubalika kwa wananchi na haitakata jina la mgombea bila sababu za msingi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VbBHK3RGwu4/VViAmbxyBdI/AAAAAAAHXv8/tcRIiBZ5DZU/s72-c/_MG_3189.jpg)
CCM INA UWEZO WA KUTAFUTA MGOMBEA WA URAIS MWENYE SIFA - RAZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VbBHK3RGwu4/VViAmbxyBdI/AAAAAAAHXv8/tcRIiBZ5DZU/s640/_MG_3189.jpg)
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza akionesha baadhi ya vifungu vya sheria vilivyopo kwenye kitabu kidogo cha sheria za Zanzibar,Mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8KzlJlqL5Q/VViAlbiEWYI/AAAAAAAHXv4/dnGi-lapxqc/s640/_MG_3314.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Sep
Askofu azungumzia sifa za Rais ajaye
ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amezungumzia sifa za rais ajae na kusema haoni shida nchi ikipata rais kijana.
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Tuanze kujadili sifa za kweli za kiongozi ajaye
WACHA Kionambali naye aanze kuchungulia 2015. Kuna ubaya gani? Wengine walianza kuitazama 2015 tangu miaka kumi iliyopita. Kila mmoja akitunga ngonjera atakazokuja nazo kutuimbia Watanzania, na kwa vile tumezoea kudanganyika...
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....