Askofu azungumzia sifa za Rais ajaye
ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amezungumzia sifa za rais ajae na kusema haoni shida nchi ikipata rais kijana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
JK azungumzia Rais ajaye
NA MWANDISHI WETU, BEIJING
“NINGEPENDA Rais ajaye baada yangu awe bora kuliko mimi.” Ni kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwa mabalozi wa Afrika wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi mjini hapa, alitoa kauli hiyo juzi alipozungumza na wawakilishi hao wa Afrika na kuwaeleza hali ilivyo Afrika kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kilichomsukuma Rais kuzungumzia mustakabali huo wa uongozi wa taifa, ni swali aliloulizwa na mwakilishi wa Nigeria, Sola Onadije, ambaye...
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....
10 years ago
Habarileo26 Dec
Ataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais ajaye
WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Askofu: Rais ajaye atoke Zanzibar
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanganyika Kusini Magharibi Mathew Mhagama amsema ili kuliunganisha Taifa la Tanzania kuwa moja ni vema Rais ajaye mwakani atoke Zanzibar na si vinginevyo....
9 years ago
Vijimambo03 Oct
ASKOFU KILAINI; SIFA KUU NNE ZA MGOMBEA AMBAYE ATAKUWA RAIS WA NCHI:
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kilaini(2).jpg)
Askofu wa kanisa Katoliki,siku ya trh 26-09-2015 alinukuliwa akitaja sifa za mgombea anaepaswa kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano Tanzania.1. Mwadilifuamesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.2. Uchapa kazi kwa vitendo na Nidhamu,nchi hii inayo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Tuanze kujadili sifa za kweli za kiongozi ajaye
WACHA Kionambali naye aanze kuchungulia 2015. Kuna ubaya gani? Wengine walianza kuitazama 2015 tangu miaka kumi iliyopita. Kila mmoja akitunga ngonjera atakazokuja nazo kutuimbia Watanzania, na kwa vile tumezoea kudanganyika...
10 years ago
Habarileo08 May
UVCCM yataja sifa za mgombea urais ajaye
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetaja sifa za mgombea urais, anayetakiwa kugombea kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog06 Jun
JK ataja changamoto za rais ajaye
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio nchini Sweden jijini Helsinki.
Rais mpya ajaye nchini Tanzania anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania itaendelea kubakia kuwa moja kwa kudumisha Umoja wetu na Amani kwani Tanzania inatokana na muungano wa nchi mbili.
Rais Jakaya Kikwete ameyasema hayo jijini Stockholm – Sweden ambapo alikuwa akiongea na watanzania waishio Sweden mara baada ya kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya siku 3,...