Lipumba atangulia urais
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba jana alianzisha mchakato wa kuwania urais kupitia muungano wa kambi ya upinzani nchini unaofahamika kama Ukawa, huku akisema yeye ndiye mtu pekee anayefaa kupeperusha bendera ya vyama vya upinzani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Aug
‘Lipumba angetaka ningemwachia urais’
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lipumba: Ujana siyo sifa ya urais
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Lipumba: Wanaostahili jela wanawania urais CCM
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmx9Mi6sOg8I2U32c2lMP8lS7exGUeSMiikuyG3QFWAlsjhS*fnyEUGX2Vd8mIaokEJdO9wv4Qp32MaRi19L7vEk/2a.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA LIPUMBA KUUSAKA URAIS NA KIU ISIYOKATIKA 2015
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Profesa Lipumba: CCM ina wagombea wawili wa urais
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Prof. Lipumba na urais, ni uvumilivu wa kula mbivu au king’ang’anizi
JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, limezidi kupanda. Miezi minne iliyobaki inajenga uhalali wa joto hilo na mihemko ya namna mbalimbali.
Chama cha Wananchi (CUF), hivi karibuni kilimuibua tena Profesa Ibrahim Lipumba kuwania urais, ikiwa ni mara ya tano mfululizo anawania nafasi hiyo.
Kwa mara ya kwanza alitupa karata ya kuwania wadhifa huo mwaka 1995, wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini.
Katika hali ya kawaida, ingetarajiwa kuwe na mgombea tofauti...