Lipumba: Wanaostahili jela wanawania urais CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amechukua fomu ya kugombea urais kupitia chama hicho na kuahidi kupambana na rushwa huku akishangaa kuwapo watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kuwa mahabusu lakini wakichukua fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Profesa Lipumba: CCM ina wagombea wawili wa urais
10 years ago
Habarileo15 Jun
Lipumba atangulia urais
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba jana alianzisha mchakato wa kuwania urais kupitia muungano wa kambi ya upinzani nchini unaofahamika kama Ukawa, huku akisema yeye ndiye mtu pekee anayefaa kupeperusha bendera ya vyama vya upinzani.
10 years ago
Mwananchi08 Aug
‘Lipumba angetaka ningemwachia urais’
10 years ago
Mwananchi30 May
Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lipumba: Ujana siyo sifa ya urais
10 years ago
Habarileo14 Apr
JK: Sijapokea majina ya wanaostahili kifo
RAIS Jakaya Kikwete amesema hajaletewa majina ya watu 16 waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya maalbino nchini kwa sababu safari ya kisheria ya majina hayo kufikishwa kwake ni ndefu.
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Prof Lipumba kufungua pazia urais keshokutwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmx9Mi6sOg8I2U32c2lMP8lS7exGUeSMiikuyG3QFWAlsjhS*fnyEUGX2Vd8mIaokEJdO9wv4Qp32MaRi19L7vEk/2a.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA LIPUMBA KUUSAKA URAIS NA KIU ISIYOKATIKA 2015