JK agusia ujana urais 2015
 Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
‘Urais ni zaidi ya ujana’
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lipumba: Ujana siyo sifa ya urais
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Khamis Kigwangallah: Tunahitaji fikra za ujana kwenye urais
JINA la Dk. Khamis Kigwangallah ambaye ni mbunge wa Nzega (CCM) si jina geni katika siasa za Tanzania. Jina hili katika siku za hivi karibuni limetajwa tajwa mara nyingi baada ya...
10 years ago
VijimamboUtabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
KUENDELEA KUANGALIA RATIBA NZIMA BOFYA HAPA.
9 years ago
Bongo522 Sep
Baba yake na Beyonce agusia uwezekano wa ziara na album mpya ya Destiny’s Child
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Urais balaa 2015
MBIO za kusaka urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwaka 2015, zimeligawa taifa katika misingi ya ujana na uzee, Tanzania Daima Jumapili, limebaini. Baadhi ya wanasiasa kutoka chama tawala na...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Kumekucha urais 2015
11 years ago
Uhuru NewspaperMBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...