Urais balaa 2015
MBIO za kusaka urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwaka 2015, zimeligawa taifa katika misingi ya ujana na uzee, Tanzania Daima Jumapili, limebaini. Baadhi ya wanasiasa kutoka chama tawala na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8ar449QsnL3bpSrjj5Z5VRHt6fK*lSmMz9zbEy0yUzs5wi-FhemBSPy0vj3Up3qO*nunXZXskCMi5t0thDXhgdU/NABII.jpg?width=650)
NABII: URAIS 2015 BALAA!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Kumekucha urais 2015
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2390840/highRes/791277/-/maxw/600/-/4dwkfqz/-/ssitta.gif)
Urais 2015 waitikisa nchi
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Filikunjombe: Sitaki urais 2015
![Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deo-Filikunjombe.jpg)
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe
NA MWANDISHI WETU, LUDEWA
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema katu hatamani kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Amesema bado anajiona anafaa zaidi katika nafasi ya ubunge na si urais kwani nafasi hiyo ya juu inahitaji ustahimilivu mkubwa, hasa kutokana na matumaini ya Watanzania kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hayo aliyasema juzi wilayani Ludewa, alipokuwa akizungumza katika misa ya kumuombea marehemu baba yake mzazi, Florian...
10 years ago
Michuzi17 Sep
SIGOMBEI URAIS 2015 NKAMIA
![GEDSC DIGITAL CAMERA](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/-I5qVgdEmMRVqjRo7STym-oLHQcGX7XVYstMHH5loO96Ff9fHi5fXy8l6F2KKjmomFnSl-ZqMCsVTUGmCmwjGCaKOOcdn52xqfPP1ylrhfh7TMlns9dl06I=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/gedc10501.jpg?w=660)
![GEDSC DIGITAL CAMERA](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/rVMVWBNMrWzA1bW_U3zK94HcbJWEFEtXK9-m3U7hupN9S7Uf0MyfH1wS2LLNGCB6vw5vUb8MyU0azTAqjaM24700pderS9VDpxcBAxe7GofKinKpJcwSWrA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/gedc1041.jpg?w=660)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wasira autaka urais 2015
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.
Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.
Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira, mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...