Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira autaka urais 2015

3.-Waziri-wa-Nchi-Ofsi-ya-Rais-Steven-Wasira-akihutubia-kwenye-Uwanja-wa-Community-Cetre-Mwanga-Kigoma

Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.

Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira,  mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Lissu autaka urais 2015

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

NA ELIZABETH HOMBO, Dar es Salaam

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.

Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake atajitosa kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandishi wa habari autaka urais Tucta

MWANDISHI wa Habari Dismas Lyassa ametangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) utakaofanyika Agosti 4 na 5 mwaka huu. Lyassa anatangaza uamuzi huo baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ampigia debe la urais Wasira

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Nyerembe Sabi, amempigia debe Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, pale alipoeleza kuwa yeye siyo waziri na mbunge tu, bali ni mtarajiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira: Urais si mama mkwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wasira amesema hana sababu ya kuona haya kutangaza kuutaka urais kwa kuwa urais si ukwe ila anasubiri wakati mwafaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais

Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira ajipigia mstari mbio za urais

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema kama chama chake, CCM, kitampa fursa ya kuwania wadhifa wa urais, atasimama kwenye mstari wa uadilifu na ufanisi ili kulinda heshima ya cheo hicho.

 

10 years ago

Mtanzania

Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM

MWIGULUWASIRA muda huuHEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...

 

10 years ago

Vijimambo

MH. STEPHEN WASIRA AJIVUNIA REKODI YA UADILIFU KATIKA MBIO ZA URAIS

Waziri wa kilimo, chakula na ushirika Mh. Stephen Wassira amesema kuwa rekodi yake ya uadilifu katika utumishi wa serikali, kutohusishwa na vitendo vya rushwa na ufisadi pamoja na malezi mema aliyolelewa na hayati baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere tangu akiwa kijana ni mambo yaliyomsukuma kutangaza nia ya kugombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi ili kuwatumikia wananchi ambao wanakabiliwa na changamoto za umaskini.

Mh.Wassira ambaye pia ni mjumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani