Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi wa habari autaka urais Tucta

MWANDISHI wa Habari Dismas Lyassa ametangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) utakaofanyika Agosti 4 na 5 mwaka huu. Lyassa anatangaza uamuzi huo baada ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wasira autaka urais 2015

3.-Waziri-wa-Nchi-Ofsi-ya-Rais-Steven-Wasira-akihutubia-kwenye-Uwanja-wa-Community-Cetre-Mwanga-Kigoma

Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.

Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira,  mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...

 

11 years ago

Mtanzania

Lissu autaka urais 2015

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.

NA ELIZABETH HOMBO, Dar es Salaam

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kwa mara ya kwanza amefunguka na kusema ana nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 iwapo chama chake kitaridhia.

Ametoa kauli hiyo ikiwa ni miaka miwili tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), alipojitokeza hadharani akisema kwamba hatawania tena ubunge katika jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu ujao na badala yake atajitosa kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Matinyi akisoma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

41 wataka urais TUCTA

SIKU chache baada ya mwandishi wa habari, Dismas Lyassa kutangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), wajumbe wengine 40 wameelezwa kujitokeza kuwania nafasi hiyo. Habari...

 

11 years ago

Habarileo

Daktari ajitosa urais TUCTA

Dk Margareth Mtaki MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), Tawi la Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Dk Margareth Mtaki ameeleza sababu zake za kujitosa kuwania Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagombea urais Tucta waonywa

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), wametakiwa kujitambua na kujitathmini pindi wanapotaka kugombea nafasi mbalimbali katika shirikisho hilo hususani urais. Rai hiyo ilitolewa na...

 

11 years ago

Habarileo

TUCTA yaonya wasaka urais

Katibu Mkuu wa TUCTA, Nicholaus MgayaKATIBU Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholaus Mgaya amewataka wanasiasa wanaotarajia kuwania urais wa nchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, kuacha kuwatumia wafanyakazi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Dismas Lyassa arejesha fomu ya kugombea Urais TUCTA

20140704_115635

Mhariri wa masuala ya Biashara wa gazeti la Mwananchi na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (COTWU-T) Tawi la Mwananchi Communications Limited, Dismas Lyassa (kulia) akirudisha fomu ya kugombea Urais  wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar es Salaam, Musa Mwakalinga. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 4-5, mwaka huu mkoani Dodoma. (Picha na Khamis Tembo).

20140704_115741

 

11 years ago

Michuzi

DAMAS LYASSA ATANGAZA RASMI VIPAUMBELE KATIKA UCHAGUZI WA URAIS TUCTA

Bw. Dismas Lyassa (katikati)) Mgombea Urais wa TUCTA; Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi akiongea na wanahabari leo.Kupata alichokisema BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani