41 wataka urais TUCTA
SIKU chache baada ya mwandishi wa habari, Dismas Lyassa kutangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), wajumbe wengine 40 wameelezwa kujitokeza kuwania nafasi hiyo. Habari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jun
TUCTA wataka serikali ikusanye kodi kwenye makasri
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeitaka Serikali kukusanya kodi kwa watu wenye majumba ya kifahari wanayopangisha watu na taasisi mbalimbali na kulipwa fedha nyingi ikiwemo kwa dola badala ya shilingi.
11 years ago
Habarileo03 Aug
TUCTA yaonya wasaka urais
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholaus Mgaya amewataka wanasiasa wanaotarajia kuwania urais wa nchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, kuacha kuwatumia wafanyakazi.
11 years ago
Habarileo26 Jul
Daktari ajitosa urais TUCTA
MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE), Tawi la Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Dk Margareth Mtaki ameeleza sababu zake za kujitosa kuwania Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Wagombea urais Tucta waonywa
WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), wametakiwa kujitambua na kujitathmini pindi wanapotaka kugombea nafasi mbalimbali katika shirikisho hilo hususani urais. Rai hiyo ilitolewa na...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Mwandishi wa habari autaka urais Tucta
MWANDISHI wa Habari Dismas Lyassa ametangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) utakaofanyika Agosti 4 na 5 mwaka huu. Lyassa anatangaza uamuzi huo baada ya...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dismas Lyassa arejesha fomu ya kugombea Urais TUCTA
Mhariri wa masuala ya Biashara wa gazeti la Mwananchi na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (COTWU-T) Tawi la Mwananchi Communications Limited, Dismas Lyassa (kulia) akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar es Salaam, Musa Mwakalinga. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 4-5, mwaka huu mkoani Dodoma. (Picha na Khamis Tembo).
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ApQs11bZkBU/U8ZQzKRI7NI/AAAAAAAF2rY/NBiWpt-milg/s72-c/unnamed+(9).jpg)
DAMAS LYASSA ATANGAZA RASMI VIPAUMBELE KATIKA UCHAGUZI WA URAIS TUCTA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ApQs11bZkBU/U8ZQzKRI7NI/AAAAAAAF2rY/NBiWpt-milg/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Wassira acharukia wataka urais
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Fitina wataka urais CCM zapamba moto
UKIWA umebaki mwaka mmoja kabla ya kuanza mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), fitina na rafu miongoni mwa wanachama wanaotajwa kuwania nafasi hizo zimeanza...