TUCTA wataka serikali ikusanye kodi kwenye makasri
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeitaka Serikali kukusanya kodi kwa watu wenye majumba ya kifahari wanayopangisha watu na taasisi mbalimbali na kulipwa fedha nyingi ikiwemo kwa dola badala ya shilingi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jan
TAWNET wataka uchunguzi wakwepa kodi kwenye sukari kuharakishwa
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) kimeitaka Serikali kuharakisha uchunguzi dhidi ya wafanyabiashara wanaoingiza sukari kimagendo na kukwepa kodi.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
41 wataka urais TUCTA
SIKU chache baada ya mwandishi wa habari, Dismas Lyassa kutangaza nia ya kuwania urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), wajumbe wengine 40 wameelezwa kujitokeza kuwania nafasi hiyo. Habari...
9 years ago
Habarileo10 Sep
Wataka wakalimani kwenye kampeni
WATU wenye ulemavu nchini wamevitaka vyama vya siasa kuhakikisha vinaweka wakalimani wa lugha za alama kwenye kampeni za wagombea urais, kutoa fursa kwa kundi hilo kujua sera na ahadi zinazotolewa na wagombea wafanye uamuzi sahihi.
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wataka haki za binadamu ziingizwe kwenye Katiba
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Wadau wataka fursa kuwekeza kwenye reli
9 years ago
Habarileo22 Nov
Wanawake wataka nafasi zaidi kwenye uwaziri
BAADA ya Awamu ya Tano ya Uongozi wa nchi kushuhudia wanawake wakiweka historia kushika nafasi ya Makamu wa Rais na Naibu Spika, asasi ya Mtandao wa Wanawake na Katiba, imezitaka mamlaka za uteuzi, akiwemo Rais John Magufuli kuteua wanawake katika nafasi za uwaziri.
10 years ago
KwanzaJamii13 Aug
SERIKALI MAKINI HUKUSANYA KODI!
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Serikali yashauriwa kupunguza kodi
SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali yahamisha kodi ya simu