Wataka wakalimani kwenye kampeni
WATU wenye ulemavu nchini wamevitaka vyama vya siasa kuhakikisha vinaweka wakalimani wa lugha za alama kwenye kampeni za wagombea urais, kutoa fursa kwa kundi hilo kujua sera na ahadi zinazotolewa na wagombea wafanye uamuzi sahihi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jun
NEC yabanwa vyama kuwa na wakalimani
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuvibana vyama vya siasa vitakavyosimamisha wagombea wa nafasi ya urais kuwa na wakalimani wa lugha za alama katika mikutano yao ya kampeni ili kutoa fursa kwa walemavu kuweza kuelewa wanachokizungumza.
9 years ago
Bongo518 Sep
Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wataka haki za binadamu ziingizwe kwenye Katiba
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Wadau wataka fursa kuwekeza kwenye reli
9 years ago
Habarileo22 Nov
Wanawake wataka nafasi zaidi kwenye uwaziri
BAADA ya Awamu ya Tano ya Uongozi wa nchi kushuhudia wanawake wakiweka historia kushika nafasi ya Makamu wa Rais na Naibu Spika, asasi ya Mtandao wa Wanawake na Katiba, imezitaka mamlaka za uteuzi, akiwemo Rais John Magufuli kuteua wanawake katika nafasi za uwaziri.
11 years ago
Habarileo29 Jun
TUCTA wataka serikali ikusanye kodi kwenye makasri
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeitaka Serikali kukusanya kodi kwa watu wenye majumba ya kifahari wanayopangisha watu na taasisi mbalimbali na kulipwa fedha nyingi ikiwemo kwa dola badala ya shilingi.
10 years ago
Habarileo09 Jan
TAWNET wataka uchunguzi wakwepa kodi kwenye sukari kuharakishwa
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) kimeitaka Serikali kuharakisha uchunguzi dhidi ya wafanyabiashara wanaoingiza sukari kimagendo na kukwepa kodi.
9 years ago
VijimamboJK ZANZIBAR KWENYE KAMPENI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Kikwete akizungumza na Maelfu ya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM na wananchi wa Kisiwani Pemba katika mkutano wa kufunga kampeni za Chama hicho katika uwanja wa Gombani yakale leo na kuwaombea kura wagombea wote wa CCMRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Viongozi wa CCM wakati alipowasili katika uwanja wa Gombani yakale katika...