Wanawake wataka nafasi zaidi kwenye uwaziri
BAADA ya Awamu ya Tano ya Uongozi wa nchi kushuhudia wanawake wakiweka historia kushika nafasi ya Makamu wa Rais na Naibu Spika, asasi ya Mtandao wa Wanawake na Katiba, imezitaka mamlaka za uteuzi, akiwemo Rais John Magufuli kuteua wanawake katika nafasi za uwaziri.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Wanawake wanaong’arisha nafasi ya mama kwenye filamu
LEO tukiwa tunaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, haitakuwa busara kama hatutawapa pongezi wanawake katika tasnia ya filamu ambao wameonekana kufanya vizuri, kama njia mojawapo ya kuwapa moyo kuongeza jitihada na...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
UCHAMBUZI: Wanawake hawajahamasika kuthubutu kwenye nafasi za uongozi
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake
SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
11 years ago
BBCSwahili19 May
Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Wataka vituo zaidi vya saratani
WANAWAKE wilayani Sikonge Mkoa wa Tabora, wameomba huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (Cervical Cancer) kufika hadi vijijini ili kupunguza hatari ya akina mama wengi kupoteza maisha...