Wanawake wanaong’arisha nafasi ya mama kwenye filamu
LEO tukiwa tunaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, haitakuwa busara kama hatutawapa pongezi wanawake katika tasnia ya filamu ambao wameonekana kufanya vizuri, kama njia mojawapo ya kuwapa moyo kuongeza jitihada na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Nov
Wanawake wataka nafasi zaidi kwenye uwaziri
BAADA ya Awamu ya Tano ya Uongozi wa nchi kushuhudia wanawake wakiweka historia kushika nafasi ya Makamu wa Rais na Naibu Spika, asasi ya Mtandao wa Wanawake na Katiba, imezitaka mamlaka za uteuzi, akiwemo Rais John Magufuli kuteua wanawake katika nafasi za uwaziri.
10 years ago
Mwananchi03 Apr
UCHAMBUZI: Wanawake hawajahamasika kuthubutu kwenye nafasi za uongozi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s72-c/22%2B(1).jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI KATIKA UCHAGUZI UJAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JvwpcLFU-ro/VFeB5zFPfoI/AAAAAAAGvSo/qhpeg93nFa8/s1600/22%2B(1).jpg)
Wanawake nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu ili waweze kuingia katika ngazi ya maamuzi.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanachama wa chama hicho wa wilaya ya Nachingwea...
11 years ago
Bongo519 Jul
Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Riyama Awataka Wanawake Wenzake Kuitazama Filamu Hii Kwenye Mwezi Huu wa Mfungo
Kutoka Steps Entertainment ‘THE SECOND WIFE’ ni filamu nzuri ya mafundisho ya dini,inapatikana kwenye maduka yote ya steps entertainment Tanzania nzima pata nakala yako ujifunze kitu ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani kutana na Vicent Kigosi ‘Ray’, Riyama Ally na wengine wengi
Wanawake wenzangu kama bado hujaiona hii basi Naomba ukaitafute inapatikana madukani kote ili upate kujifunza subira na Uvumilivu pindi mwanaume anapo amua kufanya maamuzi magumu pia kwa kakazangu na baba zangu...
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Wanawake gombeeni nafasi za uongozi
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Wanaong’ang’ania mabondeni wapimwe akili
HAWA wanaong’ang’ania kuishi mabondeni wachunguzwe kwa sababu huenda wakawa wana matatizo ya kiakili. Inabidi iwe hivyo kwa sababu haiwezekani matatizo yanayowakumba wakati wa mvua mara kwa mara, hurudi tena mvua...