Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riyama Awataka Wanawake Wenzake Kuitazama Filamu Hii Kwenye Mwezi Huu wa Mfungo

Kutoka Steps Entertainment ‘THE SECOND WIFE’ ni filamu nzuri ya mafundisho ya dini,inapatikana kwenye maduka yote ya steps entertainment Tanzania nzima pata nakala yako ujifunze kitu ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani kutana na  Vicent Kigosi ‘Ray’, Riyama Ally na wengine wengi

Wanawake wenzangu kama bado hujaiona hii basi Naomba ukaitafute inapatikana madukani kote ili upate kujifunza subira na Uvumilivu pindi mwanaume anapo amua kufanya maamuzi magumu pia kwa kakazangu na baba zangu...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hii ndio filamu ya Kibongo itakaayoneshwa kwenye jumba la cinema la Mlimani City kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu.

Kwa mara nyingine tena wapenzi wa bongo movies tunatapa fursa ya kwenda kuangalia moja ya kazi za kipekee na ubunifu zaidi kwenye Tasnia ya filamu nchini. Kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, basi tukutane pale kwenye jumba la cinema la mlimani city kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu kutazama filamu mpya na ya Kipekee Samaki mchangani. iliyotengenezwa na kampuni ya Kijiweni production chini ya usimamizi wa mtayarishaji Wlison Rumisha.

 

"Filamu hii inaanza na siku ya faraja kwa ajili ya...

 

10 years ago

Michuzi

MWANAHARAKATI BI RITHI HAJI ALI AWATAKA WANAWAKE WENZAKE KUGOMBANIA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI

Na Maryam Kidiko-MaelezoZanzibar        Mwanaharakati  wa  Masuala ya Wanawake wa Jimbo la Mwana kwerekwe  Bi Rihi Haji Ali amewataka Wanawake wenzake  kujitokeza kwa wingi kugombania nafasi mbali mbali za Uongozi ili kuweza kutetea haki zao .
Hayo ameyasema  huko Mwanakwerekwe wakati akizungumza na Waandishi wa habari katika suala zima la wanawake kuacha woga na kujitokeza kwa wingi kugombania  ili waweze  kujisemea wenyewe na kupata haki zao za kimsingi. 
Hata hivyo amesema wakati umefika...

 

9 years ago

Michuzi

MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU


Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizajiMoja kati ya kamera kali zilizotumika.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao ndani ya filamu ya Homecoming, kutinga Cinema kisha sokoni mwezi huu

Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.

Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizaji

Moja kati ya kamera kali zilizotumika

Kazi ikiendelea location.

Na Mwandishi Wetu

WASANII mahiri wameshiriki kwenye filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Atoa ya Moyoni Wenzake Kutumika Kwenye Uchaguzi Huu

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’  afunguka haya kuelekea October 25 siki ya kupiga kura.

 (FREEDOM OF SPEECH)

Kijana mwenye upeo mkubwa na kuona mbali anayetambua matatizo magumu ya chi hii hawezi hakapost ujinga kwa kusema chagua chama flani kwa kufuata mkumbo au kupewa maagizo na watu wenye maslahi yao binafsi.

Kwa kupost kitu ambacho hata akijui na wala yeye mwenyewe hana uhakika wa maisha yake ya baadaye dahaaa ni aibu kubwa sana kaa tafakari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band inakukaribisha Thai Village Ijumaa hii katika msimu huu wa mapumziko mwezi Disemba

DSC_0001

Divas wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya viunga vya Thai Village Masaki wakiongozwa na Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 (katikati), Digna Mbepera (kulia) pamoja na Bela Kombo.

DSC_0016

Aneth Kushaba AK47 sambamba na Bela Kombo wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam.

DSC_0025

Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo akifanya yake jukwaani kwa mashabiki wa Skylight Band huku akisindikizwa...

 

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Beka Flavour anakuletea hii nyingine ya kuitazama

Baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Beka Flavour kuachia ngoma yake yakibenten na kufanya vizuri this time anakusogezea nyingine ya kuitazama “Noana kiza”akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo.

bofya PLAY kuitazama

 

10 years ago

Vijimambo

ZOEZI LA UTOAJI KADI LA ENDELEA CCM NEW YORK KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI TAREHE 11 MWEZI HUU

Shaban Mseba na Seif Akida wakimkabizi kadi ya CCM Dr Temba na kushoto  kwa Dr ni Ebra akishuudia utoaji kadi huo uliofanyika Brooklyn  NY. Tawi la CCM New York liko mbioni kufanya uchaguzi wa viongozi mwezi huu tarehe 11. Uchaguzi huo utafanyika 30 Overhill Rd, Mt Vernon.NY. Chukua kadi yako mapema hili uwe na haki ya kupiga kura siku hiyo kumchagua kiongozi wako. Desdery na Dr Temba wakionyesha kadi zao za CCM

 

11 years ago

CloudsFM

BEI ZA VYAKULA JIJINI DAR ZAPANDA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

BAADHI ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wamelalamikia bei kubwa za vyakula katika kipindi hiki cha Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwenye badhi ya masoko jijini humo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi wa jiji hilo Bw. Khamis Mshaka na Bi. Salma Jumbe, walisema baadhi ya wafanyabiashara wanapandisha bei ya vyakula ili kupata faida.

Walisema hali hiyo inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.

“Tabia hii si nzuri na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani