VideoMPYA: Beka Flavour anakuletea hii nyingine ya kuitazama
Baada ya staa wa muziki wa Bongo Fleva Beka Flavour kuachia ngoma yake yakibenten na kufanya vizuri this time anakusogezea nyingine ya kuitazama “Noana kiza”akiwa kasimama mwenyewe kwenye ngoma hiyo.
bofya PLAY kuitazama
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Dulla Makabila ana hii mpya “Kuingizwaâ€
Mkali wa muziki wa Singeli Dulla Makabila ambaye amefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Haujaulamba’ leo March 24 2018 ameamua kutoa video mpya kwa mashabiki wake, Dulla Makabila leo ameaachia rasmi video ya ‘Kuingizwa’
Bofya PLAY
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Riyama Awataka Wanawake Wenzake Kuitazama Filamu Hii Kwenye Mwezi Huu wa Mfungo
Kutoka Steps Entertainment ‘THE SECOND WIFE’ ni filamu nzuri ya mafundisho ya dini,inapatikana kwenye maduka yote ya steps entertainment Tanzania nzima pata nakala yako ujifunze kitu ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani kutana na Vicent Kigosi ‘Ray’, Riyama Ally na wengine wengi
Wanawake wenzangu kama bado hujaiona hii basi Naomba ukaitafute inapatikana madukani kote ili upate kujifunza subira na Uvumilivu pindi mwanaume anapo amua kufanya maamuzi magumu pia kwa kakazangu na baba zangu...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Shabiki wa HipHop? Wiz Khalifa anakuletea hii mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa! – (Audio).
Wiki moja baada ya kuisogeza tracklist ya mixtape yake mpya, Cabin Fever 3 staa wa muziki wa HipHop Marekani, Wiz Khalifa anatimiza ahadi kwa mashabiki wake kwa kuisogeza mixtape hiyo kwenye masikio yetu. Cabin Fever 3 inabeba nyimbo 11 na huu ni muendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2012, Cabin Fever 2… Cabin Fever 3 […]
The post Shabiki wa HipHop? Wiz Khalifa anakuletea hii mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa! – (Audio). appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
CCM hii? Labda nyingine!
NATAKA kuamini kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakiwezi kuacha fedha chafu, kwa sababu itakuwa sawa na kung’ata kidole kinachopeleka chakula mdomoni. Nitasimulia kidogo. Mnamo Machi 2006, Rais Jakaya Kikwete akiwa...
9 years ago
Bongo518 Nov
Hii ni kazi nyingine inayomuingiza mkwanja Jay Moe

Usipomsikia Jay Moe kwenye redio usidhani hayuko busy kutafuta mkwanja.
Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Jay Moe alisema anajihusisha na masuala ya ujenzi.
“Fursa ziko nyingi ukiwa mtu fulani mashuhuri kwahiyo unaweza ukapata nafasi nyingi na unaweza ukazichagamkia kupitia celebrity status,” alisema.
“Mimi najihusisha na masuala ya ujenzi, kuinvest kwenye ardhi zaidi, kwahiyo napata pesa kwaajili hiyo.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...
10 years ago
Vijimambo22 Jul
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200..
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather yupo mapumzikoni dubai. Kama sehemu yake ya matumizi ya kawaida bondia huyo ameamua kuonyesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua saa ya mkononi yenye thamani ya dola milioni 1 sawa na fedha za kitanzania zaidi ya milioni 200. Saa hiyo aina ya Hublot ndio saa ghali zaidi duniani kwa sasa. […]
The post Kufuru nyingine ya bondia Floyd Mayweather na hii saa ya milioni 200.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Olamide karudi tena kwenye headlines na hii nyingine ‘Eyan Mayweather’…(Video)
Moja ya mastaa wanaofanya vyema katika industry ya muziki Nigeria ni pamoja na Olamide ambaye tayari nyimbo zake nyingi zikiwemo alizowashirikisha mastaa mbalimbali zimefanya vizuri. Olamide ameamua kuja na video yake mpya ya single yake ya ‘ Eyan Mayweather’ iliyofanyika jijini Lagos. Nakukaribisha kuitazama hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Olamide karudi tena kwenye headlines na hii nyingine ‘Eyan Mayweather’…(Video) appeared...