Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa
Kundi moja la wanawake walio na hisia za kimapenzi na mapadre wa kikatoliki wanamtaka Papa Francis abadilishe sheria kuwaruhusu viongozi hao wa dini kuoa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jul
Kanisa- Ni kawaida mapadre kuoa
KANISA Katoliki nchini limesema suala la kuoa au kutooa kwa makasisi ndani ya kanisa hilo, si jambo la ajabu kwa kuwa kanisa hilo maeneo ya Mashariki mwa dunia, makasisi (mapadri) wake wanaoa na Magharibi ikiwemo Tanzania, wamechagua kutooa.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Anatoly Salawa alipozungumzia kauli ya Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, Papa Francis kuwa huenda kanisa hilo likaruhusu makasisi kuoa.
“Kanisa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgGV7xx1vokK5-1qYPAaFqg0qveKbkLdiCBJkrfjf7yZ-cu0*WZ7hT*t4-gcGlm4cnHz0vSlD*0FUuz1gRCUA2v/FRONTJUMAMOSIghdvddhy.gif?width=650)
WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Wanawake Geita wataka katiba ijayo wajali
WAKATI taifa likiwa kwenye sintofahamu juu ya mchakato wa katiba mpya, wanawake wilayani Geita mkoani hapa wameitaka katiba ijayo kuweka sheria za kujali wanawake, wajane na walemavu. Wito huo ulitolewa...
9 years ago
Habarileo22 Nov
Wanawake wataka nafasi zaidi kwenye uwaziri
BAADA ya Awamu ya Tano ya Uongozi wa nchi kushuhudia wanawake wakiweka historia kushika nafasi ya Makamu wa Rais na Naibu Spika, asasi ya Mtandao wa Wanawake na Katiba, imezitaka mamlaka za uteuzi, akiwemo Rais John Magufuli kuteua wanawake katika nafasi za uwaziri.
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wanawake wataka huduma za jamii zipewe kipaumbele
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza mjini Dodoma, ambapo wajumbe watajadili hoja mbalimbali. Kama zitapita, zitarudishwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura ya maoni na kuwa sheria za nchi (Katiba)....
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Wanawake wataka hamisini kwa hamsini Katiba Mpya ijayo
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika jana 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
Katika juhudi za kuleta usawa wa kijinsia na kuinua hadhi ya wanawake, Serikali imefanya jitihada kubwa katika masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii...
10 years ago
MichuziWanawake wataka umuhimu wa uwepo wa masuala ya jinsia katika Katiba
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Guteres aomba wakimbizi waruhusiwe Ulaya
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je watoto waruhusiwe kifo cha huruma?