Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guteres aomba wakimbizi waruhusiwe Ulaya

Kamishna wa Umoja wa Mataifa ameyaomba mataifa ya Ulaya kuwakubali wakimbizi wanaokimbia mapigano nchini Syria, Iraq na Afghanistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Madhila ya wakimbizi wanaoelekea Ulaya

Maelfu ya wahamiaji wamekuwa wakikumbana na hatari na hali ngumu wakitaka kufika mataifa ya Ulaya, na hasa Ujerumani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi milioni 1 walihamia Ulaya

Idadi ya wahamiaji na wakimbizi waliongia bara Ulaya kwa kutumia njia za nchi kavu na bahari mwaka huu, imepita milioni moja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hungary yaaibisha Ulaya kuhusu wakimbizi

Kiongozi wa Austria aishambulia Hungary kwa yale inayowatendea wahamiaji wanaopita nchi hiyo kuelekea kaskazini mwa Ulaya

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulaya kugawana wakimbizi 120,000

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wameahidi kutumia mfumo mpya ya kugawana wakimbizi baina ya nchi za muungano wa ulaya.

 

10 years ago

GPL

WAUMINI: MAPADRI WARUHUSIWE KUOA

Mwandishi wetu
Mpasuko! Kufuatia kuibuka wimbi la kashfa za ngono zinazowagusa waseja wa daraja la upadri duniani, baadhi ya waumini wa madhehebu mbalimbali yakiwemo Katoliki na Anglikana, wameibuka na kudai kuwepo kwa marekebisho ya sheria ya makanisa hayo yanayoruhusu watumishi hao kuoa kwani kwa sasa wanayaaibisha, jambo ambalo linaharibu imani juu ya Ukristo. Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. NINI KIMETOKEA?
Hayo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je watoto waruhusiwe kifo cha huruma?

Bunge la Ubelgiji linatarajiwa kupigia kura mswada utakaowezesha watoto walio na ugonjwa usiotibika wakubaliwe kufa kifo cha huruma au 'Euthanasia'. Nini maoni yako?

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa

Kundi moja la wanawake walio na hisia za kimapenzi na mapadre wa kikatoliki wanamtaka Papa Francis abadilishe sheria kuwaruhusu viongozi hao wa dini kuoa.

 

9 years ago

Michuzi

WAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA

 Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku.Watoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani