Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madhila ya wakimbizi wanaoelekea Ulaya

Maelfu ya wahamiaji wamekuwa wakikumbana na hatari na hali ngumu wakitaka kufika mataifa ya Ulaya, na hasa Ujerumani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi milioni 1 walihamia Ulaya

Idadi ya wahamiaji na wakimbizi waliongia bara Ulaya kwa kutumia njia za nchi kavu na bahari mwaka huu, imepita milioni moja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulaya kugawana wakimbizi 120,000

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wameahidi kutumia mfumo mpya ya kugawana wakimbizi baina ya nchi za muungano wa ulaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Guteres aomba wakimbizi waruhusiwe Ulaya

Kamishna wa Umoja wa Mataifa ameyaomba mataifa ya Ulaya kuwakubali wakimbizi wanaokimbia mapigano nchini Syria, Iraq na Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hungary yaaibisha Ulaya kuhusu wakimbizi

Kiongozi wa Austria aishambulia Hungary kwa yale inayowatendea wahamiaji wanaopita nchi hiyo kuelekea kaskazini mwa Ulaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

JASINTHA KATEGERE: Mwanamke aliyeonja madhila ya fistula

LEO ni siku ambayo duniani  inaadhimisha siku ya fistula ugonjwa ambao awali ulidhahaniwa kwamba hauwezi kutibika  wala kupona ambapo pia ugonjwa huu  umebeba manyanyaso,mateso,fedheha ,kutengwa  na madhila mengine ya kijinsia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA

 Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku.Watoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...

 

9 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA

 Mkuu wa kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu B iliyopo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma, Fredrick Nisajile akiongea na wakimbizi walio katika mpango wa kuhamishiwa kwenye kambi za Nduta, Mtendeli na Karago.Wakimbizi hao waliopokelewa kutoka nchini Burundi hivi karibuni kwa sasa wanahifadhiwa kwa muda katika kambi ya Nyarugusu. Wakimbizi kutoka Burundi walioko katika Kambi ya Nyarugusu wakiandaa mboga ya kisamvu kama walivyokutwa na mpiga picha wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeko katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waafrika waelezea madhila yanayowakuta wakati wa karantini China

Waafrika waelezea madhila yanayowakuta China wakati wa kulazimishwa kukaa karantini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani