Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI MAKINI HUKUSANYA KODI!

Na Daniel Mbega NAKUMBUKA hotuba ya Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Mei Mosi 1995 pale kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Alisema mambo mengi sana, yota yenye maana, lakini kubwa ninalolikumbuka leo, alisisitiza umuhimu wa kukusanya kodi. Alisema wazi kwamba, hata hao IMF (Shirika la Fedha Duniani) na Benki ya Dunia, ambao ndio walioshinikiza tuyabinafsishe mashirika yetu ya umma, walikuwa wanahimiza tukusanye kodi. Na hawahimizi tukusanye kodi kwa sababu nao wamechoka kutusaidia, bali ndio...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iwe makini na vyeti hivi

WAKATI Sekretarieti ya Ajira ikiendelea kuhakikisha jukumu la kukagua vyeti linafanyika kwa ufanisi, hususan kwa kutumia kitengo cha udhibiti na ubora kinachosimamia suala zima la uhakiki wa taarifa za muhusika...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI

Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam.
Serikali imewataka  wananchi       kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia  mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yahamisha kodi ya simu

>Serikali imeondoa kodi ya kadi za simu iliyopitishwa na wabunge katika Mkutano wa 13 wa Bunge ambayo ililalamikiwa na wadau na watumiaji wa simu nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kupunguza kodi

SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angellah KairukiSERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.

 

9 years ago

StarTV

Uongozi DP waitaka Serikali kufuatilia kwa makini chanzo kifo cha mtikila

Chama cha Democratic DP kimeiomba Serikali na vyombo vya dola kufuatilia kwa kina chanzo cha kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila kufuatia kuibuka utata wa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari Octoba NNE mwaka huu

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema wameshangazawa na kushtushwa na ajali hiyo na wanafikiri ni ajali ya kupangwa

Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema Mchungaji Mtikila...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara

Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imedhamiria kuondoa urasimu, rushwa na matatizo kwenye kodi katika biashara, ili kupunguza idadi ya watu laki nane wapya wanaotafuta ajira kila mwaka nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani