SERIKALI MAKINI HUKUSANYA KODI!
Na Daniel Mbega NAKUMBUKA hotuba ya Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Mei Mosi 1995 pale kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Alisema mambo mengi sana, yota yenye maana, lakini kubwa ninalolikumbuka leo, alisisitiza umuhimu wa kukusanya kodi. Alisema wazi kwamba, hata hao IMF (Shirika la Fedha Duniani) na Benki ya Dunia, ambao ndio walioshinikiza tuyabinafsishe mashirika yetu ya umma, walikuwa wanahimiza tukusanye kodi. Na hawahimizi tukusanye kodi kwa sababu nao wamechoka kutusaidia, bali ndio...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Serikali iwe makini na vyeti hivi
WAKATI Sekretarieti ya Ajira ikiendelea kuhakikisha jukumu la kukagua vyeti linafanyika kwa ufanisi, hususan kwa kutumia kitengo cha udhibiti na ubora kinachosimamia suala zima la uhakiki wa taarifa za muhusika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s72-c/PIX+1.jpg)
SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s1600/PIX+1.jpg)
Serikali imewataka wananchi kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali yahamisha kodi ya simu
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Serikali yashauriwa kupunguza kodi
SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
9 years ago
StarTV07 Oct
Uongozi DP waitaka Serikali kufuatilia kwa makini chanzo kifo cha mtikila
Chama cha Democratic DP kimeiomba Serikali na vyombo vya dola kufuatilia kwa kina chanzo cha kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila kufuatia kuibuka utata wa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari Octoba NNE mwaka huu
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema wameshangazawa na kushtushwa na ajali hiyo na wanafikiri ni ajali ya kupangwa
Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema Mchungaji Mtikila...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara