Wasira ajipigia mstari mbio za urais
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema kama chama chake, CCM, kitampa fursa ya kuwania wadhifa wa urais, atasimama kwenye mstari wa uadilifu na ufanisi ili kulinda heshima ya cheo hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s72-c/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
MH. STEPHEN WASIRA AJIVUNIA REKODI YA UADILIFU KATIKA MBIO ZA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-QJ1iNjevSpE/VX2P12o66-I/AAAAAAABQLI/AhdAjgo713U/s640/DSC_0112-FILEminimizer.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Makamba ajipigia debe la urais
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta akana kutumia #Bunge la Katiba kusaka Urais 2015, ajipigia debe kiaina[VIDEO]
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s72-c/1.jpg)
MBIO ZA URAISN 2015; STEPHEN WASIRA NAYE ATANGAZA NIA AKIWA MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bFvdz3DMbYo/VWsKJxfiJSI/AAAAAAAAUXk/kPpbM42rqQs/s640/1.jpg)
Mei 31, 2015. Wasira anakuwa mtu wa tatu kutangaza nia hiyo, akitanguliwa na Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tdkcxcAu0OI/VWsKKZZmXbI/AAAAAAAAUXo/dDAIWB4qKmI/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T7oyim58l_4/VWsKPsc-McI/AAAAAAAAUX0/5HAW9Tr1hJ8/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Apr
DC ampigia debe la urais Wasira
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wasira autaka urais 2015
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.
Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.
Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira, mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Wasira: Urais si mama mkwe
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM
HEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...