Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira: Urais si mama mkwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wasira amesema hana sababu ya kuona haya kutangaza kuutaka urais kwa kuwa urais si ukwe ila anasubiri wakati mwafaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA KANUMBA: LULU NI MKWE SAHIHI KWANGU

Stori:  Imelda Mtema
MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa ameibuka na kueleza kuwa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni mkwe sahihi kwake kwa namna alivyo na heshima na anavyomjali kama mama yake. Mama mzazi wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa akipozi na Lulu. Akizungumza wikiendi iliyopita nyumbani kwake, Kimara - Temboni, Dar, mama huyo alisema, kama mwanaye angekuwa hai angekuwa amepata mke bora wa...

 

9 years ago

GPL

SIKU ZOTE MKE, MAMA MKWE NI MAADUI

NIANZE kwa kuwashukuru wasomaji wangu kwa kuendelea kufuatilia mada zangu mbalimbali za Maisha na Uhusiano na hata kutoa maoni na ushauri. Asanteni sana. Mke na mama mkwe hawa ni wanawake wawili toka koo mbili tofauti, mmoja akiwa ni muolewaji na mwingine ni mama wa muoaji na wanaunganishwa na tendo la binti kuolewa na kijana wa mama husika. Hii ndiyo mada yangu ya leo; siku zote mke, mama mkwe ni maadui! Niende moja kwa moja...

 

10 years ago

Habarileo

Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeMKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.

 

10 years ago

CloudsFM

NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA

MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.

Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...

 

10 years ago

Michuzi

muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na ujio wa filamu yake mpya "Mama Mkwe"


FILAMU mpya ya muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi iitwayo 'Mama Mkwe' inatarajiwa kuigizwa sokoni siku ya Alhamisi baada ya kukwama kuachiwa jana Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa.Aidha Muinjilisti huyo amewataka mashabiki wake wasiikose kupata darasa la kutosha.
Jennifer alisema filamu hiyo itaachiwa rasmi Septemba 25 baada ya jana kukwama kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa ni wiki kadhaa tangu kumalizika kurekodiwa kwake na kusema kwa ujumbe uliopo ndani yake, mashabiki...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ampigia debe la urais Wasira

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Nyerembe Sabi, amempigia debe Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, pale alipoeleza kuwa yeye siyo waziri na mbunge tu, bali ni mtarajiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wasira autaka urais 2015

3.-Waziri-wa-Nchi-Ofsi-ya-Rais-Steven-Wasira-akihutubia-kwenye-Uwanja-wa-Community-Cetre-Mwanga-Kigoma

Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.

Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira,  mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira ajipigia mstari mbio za urais

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amesema kama chama chake, CCM, kitampa fursa ya kuwania wadhifa wa urais, atasimama kwenye mstari wa uadilifu na ufanisi ili kulinda heshima ya cheo hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais

Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani