SIKU ZOTE MKE, MAMA MKWE NI MAADUI
![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxdM19GP20rq7Dig89l*anqEAEkWccd*Y6ewDj2bNquEjk2Q6JyP5Q9NtoN9epeFu5C0e5izGOvQdVqWa9mKfhSS/couplearguing.jpg?width=650)
NIANZE kwa kuwashukuru wasomaji wangu kwa kuendelea kufuatilia mada zangu mbalimbali za Maisha na Uhusiano na hata kutoa maoni na ushauri. Asanteni sana. Mke na mama mkwe hawa ni wanawake wawili toka koo mbili tofauti, mmoja akiwa ni muolewaji na mwingine ni mama wa muoaji na wanaunganishwa na tendo la binti kuolewa na kijana wa mama husika. Hii ndiyo mada yangu ya leo; siku zote mke, mama mkwe ni maadui! Niende moja kwa moja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s72-c/MamaKikwete_.jpg)
MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s1600/MamaKikwete_.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo [WAMA] anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 8 mwaka huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam .
Akizungumzia maadhimisho hayo leo jijini Dar es salaam , Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar se salaam Mhe. Raymond Mushi amesema kuwa maadhimisho hayo mwaka huu yataongozwa na kauli mbiu isemayo “Uwezeshaji...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Wasira: Urais si mama mkwe
10 years ago
Habarileo04 Dec
Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO459iFLVUrPQuoMOSQtzNDsBlfIAVUw0OSn1CyU5LrB1DVdXK5TibuerhCDOI8vARKZ8ZMusiu*CWpXmbQOcyAV/6lulu.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: LULU NI MKWE SAHIHI KWANGU
10 years ago
CloudsFM04 Dec
NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.
Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8L2vOyTOsfA/U7qp6gmscWI/AAAAAAAFviI/yXkUExJAabw/s72-c/unnamed+(69).jpg)
MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8L2vOyTOsfA/U7qp6gmscWI/AAAAAAAFviI/yXkUExJAabw/s1600/unnamed+(69).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3uxFLlkrdAI/U7qp6sgE1PI/AAAAAAAFviM/rj7nL1RMJaU/s1600/unnamed+(70).jpg)
10 years ago
Michuzi23 Sep
muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na ujio wa filamu yake mpya "Mama Mkwe"
FILAMU mpya ya muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi iitwayo 'Mama Mkwe' inatarajiwa kuigizwa sokoni siku ya Alhamisi baada ya kukwama kuachiwa jana Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa.Aidha Muinjilisti huyo amewataka mashabiki wake wasiikose kupata darasa la kutosha.
Jennifer alisema filamu hiyo itaachiwa rasmi Septemba 25 baada ya jana kukwama kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa ni wiki kadhaa tangu kumalizika kurekodiwa kwake na kusema kwa ujumbe uliopo ndani yake, mashabiki...
9 years ago
Bongo515 Oct
Mabeste kumtumia mke wake kwenye video zake zote zinazokuja