Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na ujio wa filamu yake mpya "Mama Mkwe"


FILAMU mpya ya muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi iitwayo 'Mama Mkwe' inatarajiwa kuigizwa sokoni siku ya Alhamisi baada ya kukwama kuachiwa jana Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa.Aidha Muinjilisti huyo amewataka mashabiki wake wasiikose kupata darasa la kutosha.
Jennifer alisema filamu hiyo itaachiwa rasmi Septemba 25 baada ya jana kukwama kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa ni wiki kadhaa tangu kumalizika kurekodiwa kwake na kusema kwa ujumbe uliopo ndani yake, mashabiki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

“NIPO STUDIO” YA JENNIFER MGENDI KUACHIWA

Mtayarishaji wa filamu na mwimbaji wa siku nyingi Jennifer Mgendi anakusudia kuachia filamu yake ya “Nipo Studio” mapema wiki hii. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo imekamilika kwa kila kitu na itaingia sokoni wiki hii ikiwa imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwamo shosti wake wa siku nyingi Bahati Bukuku, Bibi Esta, Hassan Mbangwa, Gwamaka Kametta na wengine wengi.
Jennifer amesema filamu hii inazungumzia changamoto mbalimbali anazokutana nazo Bibi Esta pale anapokuwa na...

 

10 years ago

Michuzi

JENNIFER MGENDI AACHIA ALBAMU YA WEMA NI AKIBA

 Mwimbaji wa siku nyingi wa nyimbo za injili nchini, Jennifer Mgendi, ameachia albamu yake mpya mapema wiki hii.
Akizungumza na blogu hii  Mgendi amesema albamu hiyo ina jumla ya nyimbo saba ambazo ni Wema ni Akiba, Nani kama Mungu?, Nakungoja aliomshirikisha Mchungaji Abiudi Misholi, Kimbilia Msalabani, Nakuhitaji Roho, Tenda nishangae na Wastahili.
Akizungumzia video ya albamu hiyo, Mgendi amesema maandalizi ya video yameanza na video itazinduliwa Juni 28 katika kanisa la DCT Tabata Shule...

 

9 years ago

Global Publishers

Jennifer Mgendi atembelea Global TV Online na kufanya mahojiano

Jenipher Mgendi (1)

Mwimbaji Injili, Jennifer Mgendi akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano 

Jenipher Mgendi (2)

Jennifer Mgendi akisikiliza baadhi ya maswali kutoka Global TV Online.

Jenipher Mgendi (3)

Jennifer akizidi kufanya mahojiano ndani ya Global TV Online leo.

Jenipher Mgendi (4)

Jennifer Mgendi akiwa na John Joseph ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Championi Ijumaa.

Jenipher Mgendi (5)

Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul akipozi na Jennifer.

Jenipher Mgendi (6)

Jennifer akiwa na Mwnadishi wa Championi, Nicodemus.

Jenipher Mgendi (7)

Jennifer akiwa na...

 

11 years ago

CloudsFM

MUME WA MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI ADAIWA KUMBAKA SHEMEJI YAKE WA MIAKA 17

Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, (jina tunalihifadhi kwa sasa), anatuhumiwa kumbaka shemeji yake mdogo (17).
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa juzi saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule), zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba alimbaka binti huyo mara tatu na kumsababishia maumivu makali.
Binti huyo alifika katika kituo hicho cha polisi akiwa na ndugu zake wawili ambao walilalamika kwamba kulikuwa na jitihada kubwa kutoka upande wa mtuhumiwa wa kuzima kesi hiyo.
...

 

10 years ago

Michuzi

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA GOSPEL

Muimbaji wa Nyimbo za Injili Rehema Chawe
MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza, inayoitwa Kusamehe ni afya.

Uzinduzi huo unatarajia kufanyika Jumapili, March 8, mwaka katika kanisa la EAGT, Frelimo kwa mchungaji Mwenda, ambaye ni Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Iringa.


Akizungumza na wanahabari, Chawe alisema uzinduzi huo utapambwa na waimbaji...

 

10 years ago

Bongo5

Sylvester Stallone atangaza ujio wa filamu mpya ya ‘Rambo’

Sylvester Stallone ametangaza kwenye Twitter kuhusu ujio wa filamu mpya ya Rambo. Filamu ya kwanza ya Rambo, First Blood ilitoka mwaka 1982. Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka 68 ataigiza tena kama John Rambo kwenye muendelezo wa tano wa filamu hiyo ambayo haijulikani itatoka lini.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.

“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani