Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


“NIPO STUDIO” YA JENNIFER MGENDI KUACHIWA

Mtayarishaji wa filamu na mwimbaji wa siku nyingi Jennifer Mgendi anakusudia kuachia filamu yake ya “Nipo Studio” mapema wiki hii. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo imekamilika kwa kila kitu na itaingia sokoni wiki hii ikiwa imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwamo shosti wake wa siku nyingi Bahati Bukuku, Bibi Esta, Hassan Mbangwa, Gwamaka Kametta na wengine wengi.
Jennifer amesema filamu hii inazungumzia changamoto mbalimbali anazokutana nazo Bibi Esta pale anapokuwa na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JENNIFER MGENDI AACHIA ALBAMU YA WEMA NI AKIBA

 Mwimbaji wa siku nyingi wa nyimbo za injili nchini, Jennifer Mgendi, ameachia albamu yake mpya mapema wiki hii.
Akizungumza na blogu hii  Mgendi amesema albamu hiyo ina jumla ya nyimbo saba ambazo ni Wema ni Akiba, Nani kama Mungu?, Nakungoja aliomshirikisha Mchungaji Abiudi Misholi, Kimbilia Msalabani, Nakuhitaji Roho, Tenda nishangae na Wastahili.
Akizungumzia video ya albamu hiyo, Mgendi amesema maandalizi ya video yameanza na video itazinduliwa Juni 28 katika kanisa la DCT Tabata Shule...

 

9 years ago

Global Publishers

Jennifer Mgendi atembelea Global TV Online na kufanya mahojiano

Jenipher Mgendi (1)

Mwimbaji Injili, Jennifer Mgendi akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano 

Jenipher Mgendi (2)

Jennifer Mgendi akisikiliza baadhi ya maswali kutoka Global TV Online.

Jenipher Mgendi (3)

Jennifer akizidi kufanya mahojiano ndani ya Global TV Online leo.

Jenipher Mgendi (4)

Jennifer Mgendi akiwa na John Joseph ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Championi Ijumaa.

Jenipher Mgendi (5)

Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul akipozi na Jennifer.

Jenipher Mgendi (6)

Jennifer akiwa na Mwnadishi wa Championi, Nicodemus.

Jenipher Mgendi (7)

Jennifer akiwa na...

 

10 years ago

Michuzi

muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na ujio wa filamu yake mpya "Mama Mkwe"


FILAMU mpya ya muimbaji wa nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi iitwayo 'Mama Mkwe' inatarajiwa kuigizwa sokoni siku ya Alhamisi baada ya kukwama kuachiwa jana Jumatatu kama ilivyokuwa imepangwa.Aidha Muinjilisti huyo amewataka mashabiki wake wasiikose kupata darasa la kutosha.
Jennifer alisema filamu hiyo itaachiwa rasmi Septemba 25 baada ya jana kukwama kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake ikiwa ni wiki kadhaa tangu kumalizika kurekodiwa kwake na kusema kwa ujumbe uliopo ndani yake, mashabiki...

 

10 years ago

Bongo5

Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana

Juma Nature amesema tabia ya uongo kwa wanawake wengi inamfanya asifikirie kuoa awe mgumu kuoa. Nature ambaye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Furaha, ameiambia Bongo5 kuwa anashidwa kufanya uchaguzi sahihi wa mwanamke kutokana na wanawake kuwa matapeli. “Suala la kuoa ni suala la kitaifa, siku mimi nikioa hata rais atajua Juma Nature anaoa, nikiwa […]

 

10 years ago

GPL

JOHARI: BADO NIPO NIPO SANA

Na Imelda Mtema
MKONGWE kwenye kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amewataka mashabiki wake wajue kwamba, muda ukifika wa kupata mume wa kufunga naye ndoa, atafanya hivyo lakini kwa sasa anatoa kipaumbele kwenye kazi tu. Mkongwe kwenye kilinge cha sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza na Amani, Johari ambaye umri wake upo juu ya miaka 30, alisema watu wengi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kapombe: Bado nipo nipo kwanza

ALIYEKUWA beki wa timu ya Simba, Shomari Kapombe, amesema mipango yake ya kujiunga na Azam imekwama, akisubiri amalizane kwanza na AS Cannes ya Ufaransa. Kapombe ameamua kurejea nchini na kujiunga...

 

11 years ago

Mwananchi

Jeniffer Mgendi: Kutoka uimbaji hadi uigizaji

Wakati akiendelea kutamba na video yake mpya ya “Hongera Yesu”, ambayo imewashirikisha waimbaji na wasanii mbalimbali kama Bahati Bukuku, Godliver Vedastus, Boniphace Mwaitege, Christine Matai na wengineo, Jeniffer Mgendi Juni anatarajia kuachia filamu ya “Shelina”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani