Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais

Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Daily News

Wasira calls for peaceful campaigns in Bunda


Wasira calls for peaceful campaigns in Bunda
Daily News
MINISTER for Agriculture, Food and Cooperatives, Mr Stephen Wasira, has called on members endorsed by the various political parties in all the three constituencies in Bunda District in Mara Region, to observe peace and conduct campaigns geared towards ...

 

9 years ago

Mtanzania

Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto Bunda

Mh.StephenWassiraNa Shomari Binda, Bunda

MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bunda jana, Bulaya alisema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la  Kambarage, alikumbana na mkasa huo juzi kwenye Kata ya Kunzugu eneo la Bukore.

Alisema Kambarage akiwa na...

 

11 years ago

Daily News

Wasira makes case for Wildlife Management Area in Bunda


Daily News
Wasira makes case for Wildlife Management Area in Bunda
Daily News
MINISTER of State in the President's Office (Social Relations and Coordination) Mr Stephen Wasira is calling for the establishment of a Wildlife Management Area (WMA) in Bunda District of Mara Region. The game controlled area is currently occupied by ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015

MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...

 

5 years ago

CCM Blog

HASNA ATTAI MASOUD AWA KADA WA 24 KUJITOSA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

Mgombea wa 24 ni Bi Hasna Attai Masoud ambaye amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Leo

 

5 years ago

Michuzi

TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020

 MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Tundu Lissu  Na Said Mwishehe, Michuzi TV


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.

Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wasira autaka urais 2015

3.-Waziri-wa-Nchi-Ofsi-ya-Rais-Steven-Wasira-akihutubia-kwenye-Uwanja-wa-Community-Cetre-Mwanga-Kigoma

Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.

Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira,  mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira: Urais si mama mkwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wasira amesema hana sababu ya kuona haya kutangaza kuutaka urais kwa kuwa urais si ukwe ila anasubiri wakati mwafaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani