Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais
Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Daily News16 Aug
Wasira calls for peaceful campaigns in Bunda
Daily News
MINISTER for Agriculture, Food and Cooperatives, Mr Stephen Wasira, has called on members endorsed by the various political parties in all the three constituencies in Bunda District in Mara Region, to observe peace and conduct campaigns geared towards ...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto Bunda
Na Shomari Binda, Bunda
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bunda jana, Bulaya alisema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina la Kambarage, alikumbana na mkasa huo juzi kwenye Kata ya Kunzugu eneo la Bukore.
Alisema Kambarage akiwa na...
11 years ago
Daily News03 Aug
Wasira makes case for Wildlife Management Area in Bunda
Daily News
Daily News
MINISTER of State in the President's Office (Social Relations and Coordination) Mr Stephen Wasira is calling for the establishment of a Wildlife Management Area (WMA) in Bunda District of Mara Region. The game controlled area is currently occupied by ...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015
MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hdLoCG823Vo/XvM2I7m4kGI/AAAAAAABMlo/jJYWV3htU98H3Uul4CWynFK8ho0JWI6hACLcBGAsYHQ/s72-c/EbRXKqUXkAEljZw.jpeg)
HASNA ATTAI MASOUD AWA KADA WA 24 KUJITOSA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-hdLoCG823Vo/XvM2I7m4kGI/AAAAAAABMlo/jJYWV3htU98H3Uul4CWynFK8ho0JWI6hACLcBGAsYHQ/s400/EbRXKqUXkAEljZw.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%252Bpic.jpg)
TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%252Bpic.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.
Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wasira autaka urais 2015
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Stephen Wasira katika moja ya mikutano ya CCM.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.
Kauli hiyo, aliitoa wakati akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na Star Tv.
Itakumbukwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiliwaadhibu makada wake sita akiwemo Wassira, mwaka mmoja kutojihusisha na masuala ya...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Wasira: Urais si mama mkwe