Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015
MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ1Js4AlSnWVid-T3iflom6-eOycq8yc00GkmS-zYEncuyRkHWt7AK9UsexiZ3UaifBQz7Unjy8f4zk8Y2Av6id/HamisKigwangalla.jpg)
DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015
Mbunge wa Jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala. Na John Dotto
MBUNGE wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha mapinduzi CCM. Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua fununu zilizo enea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo imekuwa ikiibua mijadala mara kwa mara...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk. Khamis Kigwangala, akitangaza nia yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wakati alipokutana na waandishi wa habari ambapo amesema hajasukumwa na mtu yeyote ila ni yeye mwenyewe ameamua kwa moyo wake. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Serikali za… ...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais
Stephen Masato Wasira ni mwanasiasiasa nguli wa CCM; kada madhubuti ambaye chama kinajivunia kuwa naye. Amekuwapo katika awamu zote nne za uongozi akishika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama na serikali.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hdLoCG823Vo/XvM2I7m4kGI/AAAAAAABMlo/jJYWV3htU98H3Uul4CWynFK8ho0JWI6hACLcBGAsYHQ/s72-c/EbRXKqUXkAEljZw.jpeg)
HASNA ATTAI MASOUD AWA KADA WA 24 KUJITOSA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-hdLoCG823Vo/XvM2I7m4kGI/AAAAAAABMlo/jJYWV3htU98H3Uul4CWynFK8ho0JWI6hACLcBGAsYHQ/s400/EbRXKqUXkAEljZw.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%252Bpic.jpg)
TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%252Bpic.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.
Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4wfsNkU93PMgFoZK40J2bp27xXaXl8xGpAtW9x*BMfnscEkrDrhUwJFxaZ*bSQE7oXsnsRyK5SQGo-Hm3nH0ep6/urais.jpg)
URAIS; KIGWANGALA ATAKA APIMWE
Stori: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala amesema ametangaza nia ya kugombea urais ili aweze kupimwa na chama chake (CCM) na wananchi kama anafaa. Akizungumza kwenye Ukumbi wa Hyatt Regencey Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam juzi, Dk. Kigwangala alisema ameamua kutangaza nia bila kutumwa na mtu au kikundi chochote isipokuwa amedhamiria kuongoza taifa.… ...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamisi Kigwangalla ni mmoja kati ya makada vijana wa chama tawala waliotangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania