URAIS; KIGWANGALA ATAKA APIMWE
![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4wfsNkU93PMgFoZK40J2bp27xXaXl8xGpAtW9x*BMfnscEkrDrhUwJFxaZ*bSQE7oXsnsRyK5SQGo-Hm3nH0ep6/urais.jpg)
Stori: Elvan Stambuli MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala amesema ametangaza nia ya kugombea urais ili aweze kupimwa na chama chake (CCM) na wananchi kama anafaa. Akizungumza kwenye Ukumbi wa Hyatt Regencey Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam juzi, Dk. Kigwangala alisema ameamua kutangaza nia bila kutumwa na mtu au kikundi chochote isipokuwa amedhamiria kuongoza taifa.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Dk. Kigwangala ataka shirikisho la Jogging
Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande mbalimbali za nchi na kupokelewa na mbunge huyo ambaye alikuwa mgeni rasmi, Dr. Khamis Kigwangala amewaasa wanasiasa kutoleta siasa za uchochezi hasa katika mchakato mzima wa Katiba mpya ambapo amesema waachwe wananchi wenyewe waisome waielewe na wao wataamua kama wataipigia kura ya Ndiyo au Hapana, mapokezi hayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ1Js4AlSnWVid-T3iflom6-eOycq8yc00GkmS-zYEncuyRkHWt7AK9UsexiZ3UaifBQz7Unjy8f4zk8Y2Av6id/HamisKigwangalla.jpg)
DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015
MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
9 years ago
Mwananchi15 Nov
‘Rais Magufuli apimwe baada ya siku 100’
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Pinda ataka urais
WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...
10 years ago
Mwananchi03 May
Mrema ataka JK aendelee na urais
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Blatter Ataka muhula wa 5 urais Fifa