DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015
![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ1Js4AlSnWVid-T3iflom6-eOycq8yc00GkmS-zYEncuyRkHWt7AK9UsexiZ3UaifBQz7Unjy8f4zk8Y2Av6id/HamisKigwangalla.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala. Na John Dotto MBUNGE wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha mapinduzi CCM. Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua fununu zilizo enea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo imekuwa ikiibua mijadala mara kwa mara...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015
MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4wfsNkU93PMgFoZK40J2bp27xXaXl8xGpAtW9x*BMfnscEkrDrhUwJFxaZ*bSQE7oXsnsRyK5SQGo-Hm3nH0ep6/urais.jpg)
URAIS; KIGWANGALA ATAKA APIMWE
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Kumekucha urais 2015
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...