Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamisi Kigwangalla ni mmoja kati ya makada vijana wa chama tawala waliotangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Sifa za anayeutaka kuwa rais wa Tanzania kipindi cha 2015-2020
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Bikira, kigezo kuwa Polisi Indonesia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZ1Js4AlSnWVid-T3iflom6-eOycq8yc00GkmS-zYEncuyRkHWt7AK9UsexiZ3UaifBQz7Unjy8f4zk8Y2Av6id/HamisKigwangalla.jpg)
DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Mwandosya: Fedha si kigezo cha Urais
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, amesema fedha si kigezo cha mtu kuteuliwa kuwania nafasi ya urais na kwamba, imani iliyojenga haina mashiko.
Amesema suala hilo limekuwa likimtatanisha na kueleza kuwa kiongozi huchaguliwa kutokana na uadilifu na uwezo wake na si kigezo cha fedha kama baadhi ya makada walivyojenga imani hiyo.
Profesa Mwandosya, ambaye ni miongoni mwa makada wa CCM wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais mwakani, alisema imani...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015
MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015
MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
'Vipimo vya sketi kigezo cha Saratani'
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Fedha zinapogeuka kigezo cha kugombea BFT!
NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada kupeana changamoto za kimichezo, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Kwanza kabla ya kuendelea,...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’