Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigwangala: Uwaziri si kigezo cha kuwa rais 2015

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamisi Kigwangalla ni mmoja kati ya makada vijana wa chama tawala waliotangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sifa za anayeutaka kuwa rais wa Tanzania kipindi cha 2015-2020

Ndugu wasomaji wangu leo nimeona nirudi nyumbani baada ya kuzunguka kwenye chaguzi za nchi za watu wengine na mafunzo makuu kwa Tanzania. Mtakumbuka kuwa hapo nyuma nimeandika sana kuhusu chaguzi za nchi za Zambia, Afrika Kusini, Malawi, Nigeria na Uingereza na mafunzo kwa Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bikira, kigezo kuwa Polisi Indonesia

Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira

 

11 years ago

GPL

DK. KIGWANGALA ATAFAKARI URAIS 2015

Mbunge wa Jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala. Na John Dotto
MBUNGE wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha mapinduzi CCM. Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua fununu zilizo enea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo imekuwa ikiibua mijadala mara kwa mara...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mwandosya: Fedha si kigezo cha Urais


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, amesema fedha si kigezo cha mtu kuteuliwa kuwania nafasi ya urais na kwamba, imani iliyojenga haina mashiko.
Amesema suala hilo limekuwa likimtatanisha na kueleza kuwa kiongozi huchaguliwa kutokana na uadilifu na uwezo wake na si kigezo cha fedha kama baadhi ya makada walivyojenga imani hiyo.
Profesa Mwandosya, ambaye ni miongoni mwa makada wa CCM wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro cha urais mwakani, alisema imani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala ajitosa rasmi urais 2015

MBUNGE wa Nzega, Dk. Hamisi Kigwangala, amejitosa rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mwaka 2015. Tangazo hilo la Kigwangala, linaongeza idadi ya wanaowania kiti hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangala atafakari kujitosa urais 2015

MBUNGE wa Nzega mkoani Tabora, Dk. Hamis Kigwangala, amesema anatafakari kama ataweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Vipimo vya sketi kigezo cha Saratani'

Watafiti wanasema vipimo vya sketi ya mwanamke vinaweza kumsaidia kujua ikiwa yuko katika hatari ya kupatwa Saratani ya Matiti

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha zinapogeuka kigezo cha kugombea BFT!

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada kupeana changamoto za kimichezo, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Kwanza kabla ya kuendelea,...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Mgogoro Z’bar usiwe kigezo cha kutudharau’

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga amekutana kwa mara ya kwanza na mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini na kusema Tanzania inaheshimu tunu za kimataifa za haki za binadamu na demokrasia na kwamba mgogoro wa Zanzibar usiwe kigezo cha baadhi ya nchi kudharau hatua kubwa za kidemokrasia zilizofikiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani