Urais 2015 waitikisa nchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2390840/highRes/791277/-/maxw/600/-/4dwkfqz/-/ssitta.gif)
 Mjadala wa urais mwaka 2015 unaonekana kuanza kuitikisa nchi kutokana na vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kujitokeza hadharani na kutangaza nia, huku wasomi, viongozi wa dini, wanaharakati na vyama vya siasa wakitaja sifa za mgombea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
11 years ago
GPLMGAMBO WA JIJI WAITIKISA KARIAKOO
Huu ni uchafu ambao unalalamikiwa na wafanyabiashara katika Mtaa wa Mkunguni jijini Dar es Salaam. Eneo la Mkunguni kama linavyoonekana pichani watu mbalimbali wakiwa katika harakati za kutafuta riziki lakini pembeni yake kuna uchafu ambao ni kero kubwa katika shughuli zao za kila siku .…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzfFANOeWbWOckzM4Va*Ya3qjg*x8cyt92Kywt1S2kznStLXpDh0anPt1NfeFWF2o17DYXGnP1SFeFQCsZaWj4NA/cathy.jpg)
MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY
Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7ph8lXREAe0LBYe3-jKACNgT3tf3PYRhBs8HAXD9bVE5qf7JXt9WPDKrLbie03O9fKYvqnmXOjY7se4PENTPsfg/mesi.jpg?width=650)
Messi, Chanongo waitikisa Zanzibar
Na Abdi Suleiman, Zanzibar.
SIMBA imeanza vizuri Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AFC Leopard ya Kenya, huku viungo wa timu hiyo, Ramadhan Singano ‘Messi’ na Haruna Chanongo wakionyesha uwezo wa juu. Katika mechi hiyo iliyochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Amani Mjini Unguja, huku Mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, Simba ilipata bao katika...
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mgomo wa pikipiki waitikisa Chad
Mamlaka za usafirishaji nchini Chadi wamefunga shule zote na vyuo nchini humo baada ya kutokea mgomo mkubwa wa waendesha pikipiki.
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s72-c/123.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WAITIKISA KOLOMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7zcd18w1Ps4/U5HKvaCct9I/AAAAAAAAAo8/Nup8BKQ7i9M/s1600/123.jpg)
Mwaka 2011 Kolombia ilikua Nchi ya kwanza kuanzisha sera ya usalama mitandao katika ukanda wan chi za latini amerika kupitia baraza la taifa la nchini humo linaloshughulikia maswala ya sera za uchumi na...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini
Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli
Baadhi ya Watanzania wanaoishi Marekani huenda wakaozea jela baada ya kutiwa hatiani na wengine kukiri mahakamani kuhusika katika utapeli na wizi wa mamilioni ya Dola za Marekani, kupitia mikopo na upangishaji wa nyumba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania