Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urais 2015 waitikisa nchi

 Mjadala wa urais mwaka 2015 unaonekana kuanza kuitikisa nchi kutokana na vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kujitokeza hadharani na kutangaza nia, huku wasomi, viongozi wa dini, wanaharakati na vyama vya siasa wakitaja sifa za mgombea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015



Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...

 

11 years ago

GPL

MGAMBO WA JIJI WAITIKISA KARIAKOO

Huu ni uchafu ambao unalalamikiwa na wafanyabiashara katika Mtaa wa Mkunguni jijini Dar es Salaam. Eneo la Mkunguni kama linavyoonekana pichani watu mbalimbali wakiwa katika harakati za kutafuta riziki lakini pembeni yake kuna uchafu ambao ni kero kubwa katika shughuli zao za kila siku .…

 

10 years ago

GPL

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY

Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...

 

11 years ago

GPL

Messi, Chanongo waitikisa Zanzibar

Na Abdi Suleiman, Zanzibar.
SIMBA imeanza vizuri Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AFC Leopard ya Kenya, huku viungo wa timu hiyo, Ramadhan Singano ‘Messi’ na Haruna Chanongo wakionyesha uwezo wa juu. Katika mechi hiyo iliyochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Amani Mjini Unguja, huku Mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, Simba ilipata bao katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgomo wa pikipiki waitikisa Chad

Mamlaka za usafirishaji nchini Chadi wamefunga shule zote na vyuo nchini humo baada ya kutokea mgomo mkubwa wa waendesha pikipiki.

 

11 years ago

Ykileo

WAHALIFU MTANDAO WAITIKISA KOLOMBIA

Polisi Wa  kuzuia uhalifu Mtandao. Wakala unaofuatilia matumizi ya mitandao duniani (IAB) umebaini watumiaji wa intaneti nchini Kolombia wamekua ni asilimia 70 ya wakazi milioni 47 wa nchi hiyo huku ikibainishwa ya kuwa nchi hiyo ukuaji wa uhalifu mtandao umeendelea kukua kwa zaidi.


Mwaka 2011 Kolombia ilikua Nchi ya kwanza kuanzisha sera ya usalama mitandao katika ukanda wan chi za latini amerika kupitia baraza la taifa la nchini humo linaloshughulikia maswala ya sera za uchumi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini

Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli

Baadhi ya Watanzania wanaoishi Marekani huenda wakaozea jela baada ya kutiwa hatiani na wengine kukiri mahakamani kuhusika katika utapeli na wizi wa mamilioni ya Dola za Marekani, kupitia mikopo na upangishaji wa nyumba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani