Madereva wa mabasi, bajaj wasutana
WAMILIKI na madereva wa mabasi ya daladala mkoani Kigoma wamezitaka mamlaka zinazosimamia upangaji njia na vituo vya kushusha abiria kupangia bajaj maeneo yao, maalumu kuondokana na migongano iliyopo sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
11 years ago
GPLMADEREVA WA BAJAJ, BODABODA WAGONGANA BAMAGA NA KUFANYIANA FUJO
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-qwlNJnNdY7s/UyLQF9N_IbI/AAAAAAAALeU/bmULOIDmcM4/s1600/B3.jpg?width=640)
MADEREVA WA BODA BODA, BAJAJ WAANDAMANA KINONDONI JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
Habarileo19 Apr
Madereva mabasi kama wa bodaboda
WAKATI ajali za barabarani zikiendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa na kuumiza vichwa vya Watanzania kuhusu suluhisho la ajali hizo, imefahamika moja ya tatizo sugu ni kukosekana kwa madereva wenye taaluma stahiki, ingawa wana leseni.
10 years ago
Habarileo06 Apr
Madereva mabasi,malori watishia kugoma
MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq27a2BqoRjXNYm*7TLMlbrcrxhZBWBX7CE-QTXrr9XZMIbX6Gp5sUPkS8lUZfIdDya9itwlQxumGr6I0uVrYKTo/IMG_20141020_063403.jpg?width=650)
MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!