Madereva mabasi kama wa bodaboda
WAKATI ajali za barabarani zikiendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa na kuumiza vichwa vya Watanzania kuhusu suluhisho la ajali hizo, imefahamika moja ya tatizo sugu ni kukosekana kwa madereva wenye taaluma stahiki, ingawa wana leseni.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
11 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva 18 wa bodaboda kortini
MADEREVA 18 wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kupakia abiria bila leseni ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Madereva 15 wa bodaboda mbaroni
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
Habarileo02 Sep
Madereva bodaboda wafa ajalini
MWENDESHA pikipiki (bodaboda), Moshi Ramadhani (27) amekufa papo hapo huku abiria aliyekuwa amembeba ambaye ni Ofisa Utamaduni wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, amesagika mguu na kuvunjika mkono, baada ya kugongwa na basi.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
‘Nimenusurika kuuawa na madereva bodaboda’
11 years ago
Habarileo09 Jul
Madereva 180 bodaboda rumande
KUNA vijana waendesha bodaboda 180 waliokamatwa jijini Dar es Salaam na sasa wapo mahabusu, imedaiwa. Wengine 400 wametozwa faini na wengine wamehukumiwa kwa kosa la kuingiza bodaboda katikati ya Jiji.