Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEREVA BAJAJ AGONGA AKIMBIA, WANANCHI WAMKAMATA

Wasamaria wema na dereva wa daladala (aliyevaa jezi nyekundu)  akimuokoa dereva wa Bajaj kupigwa na wananchi.
Dereva wa Bajaj akiwa ndani ya chombo hicho na askari wa Usalama Barabarani akiwa kwenye eneo la tukio.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI

AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wamkamata mwizi aliye uchi Mexico

Polisi wamemkamata mwizi mmoja aliye uchi baada ya mtu huyo kudai kuwa alipewa sumu.

 

10 years ago

GPL

POLISI WAMKAMATA WEMA SEPETU AKIDAIWA KUPIGA MUZIKI KWA SAUTI USIKU

Stori: Waandishi Wetu/Amani
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo. Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani. Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama...

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge agonga mwamba escrow

Dar es Salaam. Juhudi za mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (pichani) kutumia mkondo wa sheria kulizuia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma lisimuhoji kuhusu kuhusika kwake kwenye sakata la escrow, zimegonga mwamba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua kupinga hatua hiyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ubuyu:Polisi Wamkamata Wema Sepetu Akidaiwa Kupiga Muziki Kwa Sauti Usiku

Katika hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo.

Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama jijini Dar kulikokuwa na bethidei ya rafiki yake aliyejulikana kwa jina moja la Neema.

Awali, mapaparazi wa GPL walipokea simu ya mmoja wa majirani wa Wema ambaye alidai mwigizaji huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agonga mara mbili, ajiua kwa risasi

MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29), amejipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti na gari lake kupinduka. Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 12 jioni nyumbani kwa...

 

10 years ago

GPL

ARSENAL YAUA, WELBECK AGONGA HAT-TRICK

Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kupiga 'hat-trick'. Alexis Sanchez akiifungia Arsenal bao la tatu dhidi ya Galatasaray.…

 

10 years ago

GPL

Mchezaji Azam agonga Dar, apigwa kama mwizi

Muonekano wa gari hilo baada ya ajali. Wilbert Molandi na Nicodemas Jonas
BEKI wa pembeni wa timu ya taifa, Taifa Stars na Azam FC, Erasto Nyoni, amekumbana na mkasa mkubwa baada ya kudaiwa kumgonga dereva bodaboda katika eneo la Tip Top, Manzese jijini Dar es Salaam. Baada ya kumgonga dereva huyo wa bodaboda akiwa katika kwa gari lake aina ya Toyota Grande Mark 11 GX 110, lenye namba T 901 AZG, Nyoni hakusimama na badala yake...

 

11 years ago

GPL

J-LO AGONGA SHOO YA NGUVU UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Jennifer Lopez akionyesha manjonjo yake wakati wa ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Jennifer Lopez, Pitbull na staa wa Pop nchini Brazil Claudia Leitte wakifanya yao stejini.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani