Mchezaji Azam agonga Dar, apigwa kama mwizi
![](http://api.ning.com:80/files/fDK7wGavSSWN7TF8iLpKreW2C248gPnesN5SZ27PIU36kd-8eNYZgXfLPSfCYYQODtORksPP7NNQvLxLyeN2XKrg3SqQvcXA/azam.jpg)
Muonekano wa gari hilo baada ya ajali. Wilbert Molandi na Nicodemas Jonas BEKI wa pembeni wa timu ya taifa, Taifa Stars na Azam FC, Erasto Nyoni, amekumbana na mkasa mkubwa baada ya kudaiwa kumgonga dereva bodaboda katika eneo la Tip Top, Manzese jijini Dar es Salaam. Baada ya kumgonga dereva huyo wa bodaboda akiwa katika kwa gari lake aina ya Toyota Grande Mark 11 GX 110, lenye namba T 901 AZG, Nyoni hakusimama na badala yake...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaHW3diD1A5c7bKLuEO1QDVqf1r3647kfKVErwN*TgpDc8pJyO3x94qVQuqZM39BYzVBNMBwpUMVkSZF1YunA9Yc/straka.jpg?width=650)
MCHEZAJI YANGA APIGWA PINGU...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Azam yasajili mchezaji Ivory Coast
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
10 years ago
Vijimambo04 Oct
UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg-u5273lvDsNZSzcae-D0mzyTu5mRa6b1LS3LOcdWrk27IrZlHbpW6-JnnWm*g2W4wYkSnEUQHj9cgBn9sTmNOL/KIONGERA1.jpg?width=650)
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Daktari: Hakuna kama Azam FC
UONGOZI wa Azam FC, umezitaka klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara, kuheshimu afya za wachezaji wao, na kuwafanyia uchunguzi wa afya wakiwasajili na hata wawapo ndani ya timu kwa...
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Pele: Mchezaji maarufu wa soka nchini Brazil asema hali yake afya ni jambo la kawaida kwa watu wenye umri kama wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1ucIDuv5sylGl*aEzDq6u3-ioIeFNdLilJcPwMDWfKlw1EPqfuxh2TeyAbGwyLdwudhr7U5sPwbgqJGtlJwD0e/mc.jpg?width=550)
MC MAARUFU DAR APIGWA RISASI 9
10 years ago
Mwananchi03 May
LIGI KUU: Azam, Simba kama fainali
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kocha Azam asema ni kama fainali leo