Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHEZAJI YANGA APIGWA PINGU...

Mshambuliaji wa Yanga, Shabani Kondo (kulia) akiwa ndani ya pingu. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Shabani Kondo, alionja joto ya jiwe jana baada ya kumkunja ofisa wa jeshi la polisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kisha kupelekwa kituo cha polisi. Kondo alikumbana na mkasa huo kufuatia kutaka kupigana na askari baada ya mchezo dhidi ya Mbeya City ambao uliishuhudia Yanga ikivunja rekodi ya Mbeya kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AZALIA KWENYE NDOO, APIGWA PINGU!

Na Imelda Mtema
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo kisha kichanga kukitupa chooni. Hadija Mohammed, anayetuhumia kukitupa kichanga baada ya kuzaliwa. Kwa mujibu wa chanzo, mwanamke huyo alikuwa na ujauzito uliotimiza miezi tisa na kila mtu alikuwa akiuona,...

 

10 years ago

GPL

BABA APIGWA PINGU KWA KUMTESA MTOTO

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Hekaheka! Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy, mkazi wa Tegeta-Msufini jijini Dar amepigwa pingu akituhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha wa kumsulubu mtoto wa kiume wa mdogo wake, mwenye umri wa miaka sita (jina linahifadhiwa). Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy akiwa amepigwa pingu kwa madai ya kumtesa mtoto wa mdogo wake. Tukio...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO APIGWA PINGU DOM, ASAFIRISHWA DAR

Shani Ramadhani
TOO much! Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa, Ijumaa Wikienda lina kisa chote. Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando. Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose...

 

10 years ago

GPL

Mchezaji Azam agonga Dar, apigwa kama mwizi

Muonekano wa gari hilo baada ya ajali. Wilbert Molandi na Nicodemas Jonas
BEKI wa pembeni wa timu ya taifa, Taifa Stars na Azam FC, Erasto Nyoni, amekumbana na mkasa mkubwa baada ya kudaiwa kumgonga dereva bodaboda katika eneo la Tip Top, Manzese jijini Dar es Salaam. Baada ya kumgonga dereva huyo wa bodaboda akiwa katika kwa gari lake aina ya Toyota Grande Mark 11 GX 110, lenye namba T 901 AZG, Nyoni hakusimama na badala yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Okwi apigwa ‘stop’ Yanga

WAKATI Yanga wakitarajiwa kutua nchini leo, imepata pigo baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha usajili wa mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi, hadi utakapopatikana ufafanuzi kutoka Shirikisho la Kimataifa (Fifa)....

 

11 years ago

GPL

Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana

Athumani Idd ‘Chuji’. Musa Mateja na Khadija Mngwai
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajiwa kuwasili nchini leo alfajiri kutoka Uturuki kilipokuwa kimeweka kambi kwa muda wa wiki mbili, sakata la kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’ limeonekana kutozingatiwa ambapo hakuna anayefuatilia juu ya adhabu yake. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu, hakwenda Uturuki...

 

9 years ago

GPL

MCHEZAJI WA YANGA HALI TETE

Mwandishi wetu INATISHA! Hali ya mchezaji wa zamani wa Yanga, Nsa Job ni tete inayohitaji maombi katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi kufuatia kupigwa jiwe kichwani katika vurugu za uchaguzi mkuu zinazoendelea katika kampeni zinazofanyika Moshi Mjini, Ijumaa linakuhabarisha.  ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1NXfQ9I

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba

Headlines za ujio wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Niger aliyesajiliwa na klabu ya Dar Es Salaam Young African Issoufou Boubacar Garba zilichukua nafasi sana katika vyombo vya habari, ila jioni ya December 15 uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African ulithibitisha kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili, licha ya taarifa za awali […]

The post Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani