Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZALIA KWENYE NDOO, APIGWA PINGU!

Na Imelda Mtema
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo kisha kichanga kukitupa chooni. Hadija Mohammed, anayetuhumia kukitupa kichanga baada ya kuzaliwa. Kwa mujibu wa chanzo, mwanamke huyo alikuwa na ujauzito uliotimiza miezi tisa na kila mtu alikuwa akiuona,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MCHEZAJI YANGA APIGWA PINGU...

Mshambuliaji wa Yanga, Shabani Kondo (kulia) akiwa ndani ya pingu. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Shabani Kondo, alionja joto ya jiwe jana baada ya kumkunja ofisa wa jeshi la polisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kisha kupelekwa kituo cha polisi. Kondo alikumbana na mkasa huo kufuatia kutaka kupigana na askari baada ya mchezo dhidi ya Mbeya City ambao uliishuhudia Yanga ikivunja rekodi ya Mbeya kwa...

 

10 years ago

GPL

BABA APIGWA PINGU KWA KUMTESA MTOTO

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Hekaheka! Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy, mkazi wa Tegeta-Msufini jijini Dar amepigwa pingu akituhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha wa kumsulubu mtoto wa kiume wa mdogo wake, mwenye umri wa miaka sita (jina linahifadhiwa). Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy akiwa amepigwa pingu kwa madai ya kumtesa mtoto wa mdogo wake. Tukio...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO APIGWA PINGU DOM, ASAFIRISHWA DAR

Shani Ramadhani
TOO much! Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa, Ijumaa Wikienda lina kisa chote. Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando. Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose...

 

10 years ago

Habarileo

Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo

Liberatus SabasMSICHANA mmoja mkazi wa Mtaa wa Zaire eneo la Kijenge Kaskazini mkoani Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru chini ya ulinzi mkali wa Polisi baada ya kujizalisha mwenyewe na kisha kumtumbukiza mtoto wake kwenye ndoo ya maji.

 

11 years ago

GPL

NAY WA MITEGO AMWAGIWA NDOO YA MAJI KWENYE BETHIDEI

Na Musa Mateja
DUNIANI kuna vituko! Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa ndoo nzima ya maji kwenye sherehe yake ya kuzaliwa (bethidei). Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa na mpenzi wake Siwema. Tukio hilo la ajabu lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri usiku wa kuamkia Juni 10, mwaka huu maeneo ya...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Maromboso aogeshwa ndoo ya tope kwenye birthday yake!

Ukisherehekea siku yako ya kuzaliwa siku hizi inabidi ujiandae kuoga bila kupenda. Bahati mbaya hutaishia kuoga maji tu, bali utaogeshwa na kila aina ya kimininika hususan pombe – wanaziita ndoo! Lakini muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Maromboso ambaye jana alisherehekea siku yake ya kuzaliwa alimwagiwa ndoo ya tope! “aaaaah!!!!..imenifanya kama”John Rambo” ..ikipita yangu ya […]

 

10 years ago

GPL

SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
No! Manesi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wameingia kwenye kashfa nzito ya kusababisha kifo baada ya kudaiwa kumtumbukiza mtoto mchanga kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Katoto kachanga kalikotumbukizwa kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo mkoani hapa lilijiri hivi karibuni ambapo mwanamke aitwaye Zainabu lsmali, mkazi wa Kididimo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandishi apigwa kwenye bomoabomoa

MWANDISHI wa habari wa gazeti la Tanzania Daima mkoani Mbeya, Gordon Kalulunga (35), amenusurika kifo baada ya kupigwa na mgambo wa jiji hili waliokuwa kwenye shughuli za operesheni vunjavunja. Kalulunga...

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....

Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha.Ukweli ni kwamba mabunda hayo ya noti yalikamatwa huko jijini York, Portland, Marekani Mwezi Septemba mwaka 2010, na sio hapa Dar es salaam, Tanzania kama ambavyo wadau wengi wa mitandao hasa ya Whatsapp na Instagram wanavyovumisha.Tumelazimika kutoa habari hii ili kuokoa wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani