Mwandishi apigwa kwenye bomoabomoa
MWANDISHI wa habari wa gazeti la Tanzania Daima mkoani Mbeya, Gordon Kalulunga (35), amenusurika kifo baada ya kupigwa na mgambo wa jiji hili waliokuwa kwenye shughuli za operesheni vunjavunja. Kalulunga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Mwandishi MCL atekwa, apigwa
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar…..
Headlines za bomoabomoa zimeendelea tena leo Dec 18 ambapo zoezi hilo limeendela kwenye wilaya ya Kinondoni na kubomoa nyumba za wakazi waliokuwa wakiishi maeneo hatarishi hasa bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni Hizi ni picha 20 za tukio zima la ubomoaji linaloendelea muda huu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Ninazo picha 20 kutoka hapa Kinondoni kwenye zoezi la BomoaBomoa Dar….. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJCWe13*Fh6Uh6zhQtGB8Ko6LxQCkwy6saqz6h0hSLlgM24epz6YkkPml1o*VanL2qVz075U2m5QQQuRxXNK1v51/ndoo.jpg?width=650)
AZALIA KWENYE NDOO, APIGWA PINGU!
9 years ago
Mwananchi03 Jan
ALLY HASSAN : Daxx mwandishi wa habari aliyejikita kwenye mitindo
5 years ago
MichuziMwandishi wa habari ahukumiwa jela mwaka mmoja au faini ya shilingi milioni tano kwa kosa la kutoa maudhui kwenye mtandao wa youtube bila leseni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo Cha Mwaka mmoja jela Mwandishi wa habari Prosper Mfugale baada ya mwandishi huyo kukiri kutoa maudhui Katika Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), hata hivyo Mfugale amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.
Mfugale alikamatwa mnamo Februari 29 Mwaka huu na kushikiliwa kwa siku nne kituo cha polisi Njombe na tarehe 4 Machi alifunguliwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH-bP5VICnay7MrfvYvOYLOvgNUJ5LvU1h1O3re*dQa29ybVcserO46Q4uCLjOnuCyXB362UsFcD-2BKT4S1MJLN/1KKOO2.jpg?width=650)
BOMOABOMOA KARIAKOO
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Bomoabomoa kupingwa mahakamani