Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba
Headlines za ujio wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Niger aliyesajiliwa na klabu ya Dar Es Salaam Young African Issoufou Boubacar Garba zilichukua nafasi sana katika vyombo vya habari, ila jioni ya December 15 uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African ulithibitisha kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili, licha ya taarifa za awali […]
The post Pichaz 6 za utambulisho wa mchezaji wa kimataifa wa Yanga aliyetokea Niger Issoufou Boubacar Garba appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz)
Watu wangu wa nguvu kutokea rock city Mwanza walipata bahati ya kutembelea Mlimani City yao kwa mara ya kwanza inaitwa “Rock City Shopping Mall” kwenye utambulisho rasmi baada ya kukamilika kwa ujenzi uliochukua zaidi ya miaka miwili, watu walifanya shopping za nguvu na kufurahi na burudani kutoka kwenye vipaji vyao mpaka kwa mkali wa sauti Barnaba […]
The post Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi
Bado burudani ya soka ipo Zanzibar kwa kuendelea kuchezwa michezo ya Kombe la Mapinduzi, baada ya kupigwa mchezo wa tatu wa Kundi B mchana wa January 5 kwa kuzikutanisha timu za Mafunzo ya Zanzibar na Mtibwa Sugar ya Morogoro na mchezo kumalizika kwa Mtibwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0. Usiku wa January 5 ulichezwa […]
The post Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]
The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaHW3diD1A5c7bKLuEO1QDVqf1r3647kfKVErwN*TgpDc8pJyO3x94qVQuqZM39BYzVBNMBwpUMVkSZF1YunA9Yc/straka.jpg?width=650)
MCHEZAJI YANGA APIGWA PINGU...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-Vbfyj5mw6TM8j1NntAbYVmxZQbZZIzBchOFT7Qga3ALfuBsmSprQuR2Uxp0z46A2xBX3s8xaJx8QbtSyGCGhO0m/NsaJob.jpg?width=650)
MCHEZAJI WA YANGA HALI TETE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6a55RJNE4TI/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26
Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]
The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Cpz6aExR_2g/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chatua Singida, yumo aliyetokea Dar